• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Wataalam wa Afya wakumbushwa kuongeza juhudi kutokomeza Kifua Kikuu na Ukoma nchini

Posted on: November 18th, 2022


Katibu Tawa wa Mkoa wa Mwanza Ndg. Balandya Elikana amewakumbusha Wataalam wa Afya kuongeza juhudi katika kutokomeza ugonjwa wa Kifua kikuu na Ukoma nchini.

Akizungumza leo Jijini Mwanza na Wataalam wa Sekta ya Afya wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Kitaifa wa mwaka wa kudhibiti Kifua kikuu na Ukoma, Balandya amesema kwa mujibu wa ripiti ya mwaka 2022 ya Shirika la Afya Duniani (WHO) Tanzania ni miongoni mwa nchi 30 zenye kiwango kikubwa cha ugonjwa wa Kifua kikuu hivyo bado kuna ulazima wa kupambana na janga hilo.

"Nitumie Jukwaa hili kuwapongeza kwa jitihada za kupambana na ugonjwa huu na kupata mafanikio ya kupungua idadi ya maambukizi ya Kifua kikuu kutoka wagonjwa 306 kwa kila watu 100,000 mwaka 2015 hadi kufikia wagonjwa 208 kwa kila watu 100,000 mwaka 2021," amesema Mtendaji huyo Mkuu wa Mkoa.

Aidha, Ndg. Balandya ameishauri Wizara ya Afya kuweka utaratibu wa kuzishirikisha Sekta nyingine ili kuongeza nguvu ya pamoja ya kutoa elimu kwa Umma ili malengo ya kuutokomeza ugonjwa huo ifikapo mwaka 2030 yatimie.

Kwa upande wake Meneja wa Mpango wa kudhibiti ugonjwa wa Kifua Kikuu na Ukoma, Dkt. Riziki Kisonga amebainisha lengo la mkutano huo ni kupitia na kutafakari ugonjwa huo na kuona namna pia ya kushikisha Sekta nyingine.

Mkutano huo wa Kitaifa wa mwaka wa kudhibiti na kupambana na ugonjwa wa Kifua kikuu na Ukoma unafanyika Mwanza kwa muda wa siku tatu ukiwashirikisha Wataalamu wa Afya na wadau wa Maendeleo kutoka Sekta hiyo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.