• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WATUMISHI MWANZA RS WATINGA STESHENI YA SGR DAR

Posted on: February 23rd, 2025

WATUMISHI MWANZA RS WATINGA STESHENI YA SGR DAR


Watumishi kutoka Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza mapema leo asubuhi wameanza safari ya kuhitimisha ziara yao kwa kutembelea Stesheni ya SGR na baadaye kupanda kuelekea Jijini Dodoma.

Mara baada ya kuwasili Stesheni ya Dar ijulikanayo kwa jina la Magufuli leo Februari 23, 2025 msafara wa watumishi hao ulipokelewa na mwenyeji wao Bw.Hassan Mbonde kutoka kitengo cha Mawasiliano na kuanza kuwapa taarifa ya mradi kabla ya kuwatembeza  kwa baadhi ya maeneo muhimu kwenye jengo la abiria.

"Huu mradi hadi Dodoma umegharimu zaidi ya Trilioni 7 na utakapo kamilika hadi Mwanza utagharimu zaidi ya Trilioni 20, fedha hizi ni mkopo kutoka kwenye taasisi za kibenki za kimataifa," amesema Mbonde.

Amesema, hivi sasa wapo katika hatua za mwisho za kuanza kusafirisha shehena kubwa ya mizigo ambayo ndiyo itaingizia faida zaidi shirika la TRC.

Aron Kalondwa kutoka Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza amebainisha huo ni uwekezaji ambao kila mtanzania ana kila sababu ya kujivunia na ameipongeza Serikali ya awamu ya sita kwa kuleta mageuzi makubwa ya kiuchumi.

"Awali tuliona kama ndoto sisi kuja kuwa na mradi wa kisasa kama huu zaidi ya kuuona kwa Mataifa ya Ulaya na kwingineko, natoa pongezi kwa viongozi wetu wa Kitaifa kwa kuwapigania watanzania maendeleo,"Janeth Shishila, Afisa Maendeleo ya Jamiii.

Watumishi hao wakiwa safarini kuelekea Jijini Dodoma wameshuhudia mandhari ya nchi yakiwemo mabonde, mito na milima inayotiririsha maji.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.