• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WATUMISHI SEKTA YA MAJI WATAKIWA KUWA WAWAJIBIKAJI

Posted on: February 24th, 2025

WATUMISHI SEKTA YA MAJI WATAKIWA KUWA WAWAJIBIKAJI


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bw. Balandya Elikana amewataka Watumishi, Viongozi wa sekta ya Maji kuhakikisha wanatelekeza majukumu yao ipaswavyo kutokana na unyeti wa sekta hiyo.

Katibu Tawala ametoa rai hiyo mapema leo Februari 24, 2025 alipokuwa akiwakaribisha Viongozi na Wataalamu wa Sekta ya maji kutoka Wizara ya Maji Tanzania Bara na Wizara ya Maji, Nishati na Madini Zanzibar, waliowasili Mkoani Mwanza kwa lengo la kujifunza masuala ya kisekta.

Bw. Balandaya amesema Maji ni sekta nyeti na hayana mbadala hivyo amesema endapo sekta hiyo itafanya vizuri basi Taswira ya viongozi Wakuu wa nchi kwa pande zote mbili Bara na Visiwani itakuwa imelindwa na kuaminiwa na wananchi.

“sekta ya maji ni muhimu sana kwa wananchi, ni vyema tukafanye kazi kwa bidii, uaminifu na weredi wa juu, tukailinde taswira ta Viongozi wetu kwa wananchi”.

Halikadhalika amepongeza utaratibu huo bora na mzuri wa kutembeleana na kufanya vikao vya kisekta hali inayopelekea uwajibikaji na uimarishaji wa huduma ya maji nchini.

Akizungumza mara baada ya kupokelewa, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Nishati na Madini Zanzibar Bi. Mwanaloma Abdallah amesema ziara hiyo imebeba matarajio makubwa, Hata hivyo ameeleza katika kikao hicho kutasaidia utekelezaji wa miradi ambayo inahusiana na taasisi hizo.

Naye Mkurugenzi wa Sera na Mipango kutoka Wizara ya Maji Tanzania, Bw. Prosper Buchafwe amesema ziara hiyo inalenga pia kuonesha na kujifunza jinsi ya kuendeleza mashirikiano kati ya Wizara hizo na kuboresha huduma zinazotolewa na Taasisi hizo kwa Wananchi.

Wizara hizo zinazoshabihiana ziko Mkoani Mwanza kwa ziara na Vikao muhimu vya kisheria ambavyo hukutana mara mbili kwa mwaka vyenye lengo la kuimarisha ushirikiano na kupeana uzoefu, Aidha vikao na ziara hizo zinaratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais Tanzania.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.