• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Watumishi wa Afya ongezeni bidii katika kuwahudumia wananchi: RAS Mwanza

Posted on: December 29th, 2023

Watumishi wa Afya ongezeni bidii katika kuwahudumia wananchi: RAS Mwanza


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndugu Balandya Elikana amefanya ziara ya kikazi  kwenye Kituo cha Afya Igoma kwa lengo la kuwasikiliza watumishi na kupata maoni yao kuhusu kuboresha utendaji kazi na mazingira ya kufanyiakazi.

Akizungumza na watumishi hao Alhamisi  hii, Ndugu Balandya amesema kada ya afya ni nyeti ambayo inagusa uhai wa mwanadamu hivyo watumishi hao ni lazima watangulize viapo vyao kwa kufanya kazi kwa weledi.

"Leo nimefika hapa mahsusi kwa ajili ya kuja kuwasikiliza ninyi na ndio maana sikuwa na hotuba," alisema Balandya.  Nimewasikia changamoto zinazowakabili ambazo nyingi ni za kuboresha mazingira yenu ya kazi, nawaahidi zitafanyiwa kazi haraka na Mkurugenzi wa Jiji atalisimamia hilo na kunipa taarifa pia maafisa utumishi shughulikieni changamoto za Watumishi kwani nyingi siyo tatizo tena zipo ndani ya uwezo wenu," amefafanua Mtendaji huyo.

Kwa upande wake Muuguzi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ambaye ni Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa Bi.Claudia Kaluli amewataka watumishi hao kubadilika na kufanya kazi kwa bidii kutokana na tathmini iliyofanywa kuonesha utendaji wa kazi usioridhisha kwa kituo hicho cha Afya.

"Niwaombe sana watumishi wenzangu,tangulizeni uzalendo haya malalamiko ya wananchi hayaleti sura nzuri kwa kada yetu ya afya,"Kaluli

Miongoni mwa changamoto zinazowakabili watumishi hao wa kituo cha afya Igoma ni pamoja na kuchelewa kupanda vyeo, kubadilishiwa kada, kuchelewa kulipwa stahiki za likizo na uhamisho, kukosekana kwa umeme wa uhakika japo Kangavuke ipo pamoja na kuongezewa eneo la kituo hicho na kuboreshewa barabara ya kuingia kituoni.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.