• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WATUMISHI WA RS MWANZA WAPEWA SOMO SAMIA INFRASTRUCTURE BONDI

Posted on: January 10th, 2025

WATUMISHI WA RS MWANZA WAPEWA SOMO SAMIA INFRASTRUCTURE BONDI


Benki ya CRDB imetoa wito kwa watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Mwanza kuchangamkia fursa za kununua Bondi za Samia ili kutanua wigo wa kipato chao kwa kiwango kikubwa.


Akizungumza na wafanyakazi hao mapema leo asubuhi Januari 10, 2025 kwenye Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Meneja mahusiano  biashara za Serikali, Bi. Joyce Mruba amebainisha kuwa bado watu wengi hawajafahamu umuhimu na faida za kununua bondi lakini ni utaratibu wa uhakika wa kujiongezea fedha kutegemeana na fedha uliyoweka.

"Wengi tuna kasumba ya kukimbilia kununua magari ya kifahari au nyumba mara tunapopata fedha, hiyo siyo njia sahihi ni sawa na kutupa fedha lakini bandi ni biashara nzuri ya kuzungusha fedha." Amesema.

Ameongeza kuwa unapoweka bondi ya Samia Tshs. Milioni kumi unaweza kupata mkopo wa Tshs.  Milioni 8 hivyo kuweza kufanya shughuli zako za kiuchumi kwa uhakika na baada ya muda wa miaka miaka mitano unarudishiwa fedha zako za bondi.

"Benki ya CRDB ni taasisi imara yenye mtaji mkubwa hivyo hakuna sababu ya watu wenye nia ya kuwekeza na benki hiyo kuingia shaka pengine kufilisika hivyo wachangamkie fursa." Ameongeza.

Akitoa neno fupi la shukrani kwa benki hiyo,Katibu Tawala Msaidizi Rasilimali watu na Utawala Bw.Daniel Machunda ameishukuru taasisi hiyo kwa kuzidi kuwa wabunifu hali inayoletwa tija kwa wateja wake na kuzidi kuaminiwa.

"Leo mmetupa somo la Bondi ni dhahiri utaratibu mzuri ambao utawafanya wafanyakazi wasiishi kinyonge na badala yake kuwa na uhakika wa kujiongezea zaidi vipato vyao kwa njia hiyo ya kisasa,"Machunda


Benki ya CRDB imeshinda zabuni ya miaka mitano ya Samia Infrastructure bond mwishoni mwa mwaka jana.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.