• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WAZIRI KIKWETE ASHIRIKI MBIO ZA HISANI YA KUMBUKIZI YA MWL NYERERE

Posted on: October 12th, 2024

WAZIRI KIKWETE ASHIRIKI MBIO ZA HISANI YA KUMBUKIZI YA MWL NYERERE


WAZIRI wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana,Ajira na Walemavu Mhe.Ridhiwani Kikwete amewaongoza washiriki 1450 katika mbio za hisani za kumbukizi ya miaka 25 ya kifo cha Baba wa Taifa Mwl Nyerere  zilizoanzia eneo la Igoma hadi Kisesa Mkoani Mwanza.

Akizungumza na washiriki hao leo Oktoba 12,2024 mara baada ya kuhitimishwa kwa mbio hizo,Kikwete amewapongeza Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza pamoja na Shirika la Utangazaji TBC ambao wamebuni mpango huo ambao unaonesha Urathi wa Mwl Nyerere.

"Baba wa Taifa enzi za uhai wake aliwapigania watanzania kuepukana maadui watatu wa maendeleo ambao ni ujinga,maradhi na umasikini,hivyo leo tunamenzi kwa vitendo kwa mbio hizo zenye kuimarisha afya zetu",Mhe.Kikwete

Amesema licha ya kuimarisha afya zetu lakini zimeimarisha undugu na mshikamano miongoni mwetu kutokana na washiriki kutoka maeneo mbalimbali ya nchini kwetu.

Akitoa hotuba fupi kabla ya kumkaribisha Naibu Waziri Patrobas Katambi,Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Said Mtanda amebainisha mwitikio mkubwa walioonesha washiriki wa mbio hizo ni ishara kwamba wamehamasika vya kutosha na ushiriki pia wa kilele cha Mwenge wa Uhuru siku ya Oktoba 14,2024.

"Mhe.Waziri Mwanza hatuna jambo dogo umeshuhudia wiki ya vijana tulivyojipanga vizuri pamoja na hii ambavyo vyote ni sehemu ya kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru na sasa tunakwenda kumuheshimisha Mhe.Rais kwa kujaa uwanjani CCM Kirumba,"Mkuu wa Mkoa.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji TBC Dkt.Ayub Rioba amesema mpango uliopo sasa ni kila kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru kutakuwepo na mbio hizo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.