• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa kufungua Kongamano la Wachimbaji wadogo wa Madini Mwanza

Posted on: May 8th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Adam Malima amewakaribisha wananchi waliopo Mikoa jirani siku ya kesho kujitokeza kumpokea Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kasim Majaliwa Majaliwa(MB) anayekuja kufungua kongamano la Wachimba Madini wadogo na kutembelea mabanda ya maonyesho ya shughuli hizo kwenye viwanja vya Rock City Mall.

Akizungumza leo katika Mkutano na Vyombo vya Habari,Mkuu huyo wa Mkoa amesema ziara hiyo ya siku moja ya Mhe.Waziri Mkuu,imewajumuisha kwenye kongamano hilo wadau wa Sekta ya Madini wapatao 1400.

"Hii ni fursa ya kipekee kwa Mkoa wetu kupata nafasi hii,wiki ya Madini inafanyika kwa mara ya kwanza chini ya Shirikisho la Vyama vya Wachimba madini wadogo FEMATA naamini elimu na majadiliano mbalimbali yatakayofanyika yataleta tija na kukuza uchumi wa nchi",Mhe. Malima.

Amesema Mkoa wa Mwanza unafarijika kwa kufanyika kongamano hilo na wiki ya Madini kwani baadhi ya Wilaya kama Misungwi,Sengerema na Kwimba zipo shughuli za kuchimbwa baadhi ya madini hivyo,wahusika watanufaika kwa namna moja au nyingine.

"Serikali imeweka mazingira mazuri kwa wachimbaji wadogo na hadi sasa zimetumika sh.Bilioni 145 kama mikopo kutoka Taasisi za kifedha ambapo hapo awali wachimbaji wadogo walikuwa wakihofiwa kupewa mikopo",Mhe.Dkt.Steven Kiruswa,Naibu Waziri wa Madini.

"Tumezidi kupiga hatua tofauti na hapo awali,tunafurahia kuwa na Serikali sikivu changamoto zetu nyingi zimefanyiwa kazi na sasa tunaendesha shughuli zetu kwa kujiamini na kulipa kodi," John Banna,Rais wa FEMATA.

Awali kabla ya Mkutano huo na Vyombo vya Habari Mhe.Malima,Kamati ya Usalama ya Mkoa pamoja,Naibu Waziri wa Madini na Mkuu wa Wilaya ya Ilemela wamefanya ukaguzi wa mabanda ya maonyesho ya Madini yaliyopo kwenye viwanja vya Rock City Mall.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.