• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Waziri TAMISEMI Awafunda wakuu wa Mikoa

Posted on: October 23rd, 2019

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Selemani Jafo (Mb) amezungumza na wakuu wa Mikoa na Wilaya kwa njia ya "Video Conference" leo tarehe 23/10/2019 moja kwa moja akiwa Dodoma.

Lengo la mkutano ilikuwa ni kutoa maelekezo mbalimbali kuhusu utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika sekta za Afya,Elimu miundombinu pamoja na ukusanyaji wa mapato.

Katika sekta ya afya amepokea taarifa kutoka kwa Waheshimiwa Wakuu wa Mikoa kuhusu  ujenzi wa hospitali za wilaya na vituo vya afya vilivyopatiwa fedha na Serikali na maendeleo ya ujenzi yaliyofikiwa sasa.

Aidha katika Sekta ya Elimu taarifa ya hali ya ukarabati wa shule kongwe na ujenzi wa vyumba vya madarasa imetolewa.

Mhe.Jafo amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella  kwa utekelezaji wa miradi ya afya kwa kiwango kikubwa na kutaka mikoa mingine kuiga mfano huo.

 " Nakupongeza sana Mhe.Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa uhamasishaji  mkubwa wa uandikishaji wa orodha ya wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 kwani Mwanza mmefanya vizuri sana," alisema Jafo.

Aidha, Mhe. Jafo ametoa maelekezo  kuwa Viongozi wa Mikoa na Wilaya kuhakikisha kuwa ukusanyaji wa mapato kwenye Halmashauri zote unasimamiwa kikamilifu, pia kuhamasisha wananchi kujitokeza kupiga kura kwenye Uchaguzi wa Serikali za  Mitaa utakaofanyika tarehe 24/11/2019 na kuwataka  viongozi kuhakikisha wanafunzi wote watakaochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza wanajiunga na masomo ya Sekondari na  kuhakikisha uwepo wa miundombinu kwa ajili hiyo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.