• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI KUTOKOMEZA UVUVI HARAMU ZIWA VICTORIA

Posted on: October 8th, 2024

WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI KUTOKOMEZA UVUVI HARAMU ZIWA VICTORIA


Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (MB) amesema Serikali inaweka mikakati maalum kwa ajili ya kutokomeza na kupambana na uvuvi haramu katika ziwa Victoria ambazo zitasaidia katika kuzilinda rasilimali.

Amesema hayo wakati akizungumza na wadau wa uvuvi kutoka katika Mikoa ya kanda ya ziwa leo Oktoba 8, 2024 katika Ukumbi wa Nyakahoja Mkoani Mwanza.

Mhe. Ulega amewataka wavuvi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa Serikali ili kuweza kutokomeza uvuvi haramu na kusaidia katika upatikanaji wa malighafi katika viwanda vya samaki na kukuza ustawi wa sekta ya uvuvi.

Sambamba na hayo Mhe. Ulenga ametoa rai kwa wadau wa uvuvi kutoka katika Mikoa ya kanda ya ziwa kuhakikisha wanashiriki kikamilifu katika vikao na mikutano inayohusiana na maswala ya uvuvi kwakua maoni na mawazo yao yanamchango mkubwa Serikalini.

"Nyinyi ambao ndiyo wadau wenyewe mnaweza mkachukua kwa wepesi lakini nawaambieni kwa upande wa Serikali mnachukuliwa kwa uzito na ndiyo maana wakifanya maamuzi lazima watasema tulikaa na wadau". Amesema Mhe. Ulega.

Naye Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndg. Patrick Karangwa akizungumza kwa niaba ya Katibu Tawala amesema Mkoa unaendelea kusimamia rasilimali na uhifadhi wa ziwa Victoria kwa ustawi wa uchumi wa Taifa na wananchi.


"Mkoa unaendelea kusimamia utekelezaji kwa lengo la kulinda rasilimali za uvuvi katika ziwa Victoria ili kuweza kuwanufaisha wananchi na Taifa kwa ujumla". Amesema kawamba

Nao baadhi ya washiriki wa kikao hicho wameiomba Wizara ya mifungo na Uvuvi kuwapatia vifaa vya kutosha Maafisa uvuvi ili kuwawezeshe kufanya kazi kwa wakati wote na kuhakikisha wanatokomeza uvuvi haram katika ziwa Victoria in.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.