• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mei Mosi 2022 Yafana Mwanza

Posted on: May 1st, 2022

Serikali ya  awamu ya Sita imepongezwa kwa kuendelea kuwa sikivu na kuyafanyia kazi maslahi ya Wafanyakazi licha ya kuwa na  changamoto za Uchumi ulioutikisa Ulimwengu hivi sasa.

Akizungumza katika Sherehe za Wafanyakazi, Mei Mosi zilizofanyika ki-Mkoa Mkoani Mwanza katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mkuu wa Mkoa Mwanza, Mhe Mhandisi Robert  Gabriel amesema maombi kadhaa waliyotoa Watumishi Mei Mosi ya mwaka Jana iliyofanyika Kitaifa Mkoani Mwanza yamepatiwa ufumbuzi.

"Tuna kila sababu ya kuipongeza Serikali ya Rais wetu Samia Suluhu Hassan kwani mbali ya kupunguziwa makato  ya Kodi kutoka asilimia tisa hadi nane pia malimbikizo ya Mishahara,Watumishi kupandishwa madaraja pia Mikopo isiyo na riba ni miongoni mwa hatua zilizotekelezwa ambazo zimeongeza ari ya uwajibikaji" amesema Mhe. Mhandisi Gabriel.

Ameongeza kuwa, Wafanyakazi waendelee kuzingatia nidhamu na utii kazini kwani bado maslahi yao mengine yanaendelea kufanyiwa kazi na yatakuja na majibu chanya wakati utakapowadia.

Aidha, amewakumbusha Waajiri wote Mkoani Mwanza kuzingatia na kutekeleza Sheria za kazi na malipo stahiki yanalipwa kwa wakati hasa Sekta binafsi.

Pamoja na hayo, Mhe Gabriel amewahimiza Wakazi wa Mkoa wa Mwanza kushiriki kikamilifu Sensa ya Watu na Makazi itayofanyika Agosto 23 mwaka huu ili Taifa liweze kutekeleza Mipango ya Maendeleo kikamilifu.

Sherehe za Mei Mosi Kitaifa Mwaka huu zimefanyika Mkoani Dodoma Mgeni Rasmi akiwa ni Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.