• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

New Butiama Hapa kazi tu Yapokelewa kwa shangwe bandari ya Nansio.

Posted on: August 18th, 2020

Mamia ya wakazi wa Ukerewe wajitokeza kuipokea meli mpya ya Mv.Butiama hapa kazi ambayo imefanyiwa marekebisho makubwa baada ya kukaa muda mrefu bila kufanya kazi .

Akizungumza wakati akiitambulisha meli hiyo kwa wananchi wa wilaya ya Ukerewe ,  Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella amesema hizo ni juhudi za Magufuli kwani anamkakati mkubwa wa kuikomboa  Ukerewe hivyo amewataka wananchi kuitumia meli hiyo kuzalisha ili kupandisha uchumi wao

"Ahadi hii ni ya Mhe. Rais Dkt. Magufuli alipokuwa anaomba kura mwaka 2015 japo kuwa hakufika huku lakini kila siku na alipokuwa anakuja Mwanza alikumbuka ahadi yake na leo amelipa deni lake hivyo visiwa 38 vitanufaika na usafiri huu "alieleza Mongella.

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya hiyo Mhe .Cornel Magembe alisema watu wake wamefarijika baada ya kusikia mali yao imerejea baada ya kupotea kwa muda mrefu na kuongeza kuwa wilaya hiyo  ina boti mwendo kasi ambayo inatumia kubeba wagonjwa kwenda hospital ya Mwanza kwa muda wa nusu saa.

Aliongeza kuwa meli hiyo itafanya kazi siku zote bila kukumbwa na janga lolote na kupunguza muda wa wananchi kusafiri kutoka masaa manne hadi mawili pia katika eneo hilo wanazo meli kubwa mbili za serikali  ambazo zinatoa huduma na kuleta mafanikio katika kisiwa hicho.

" Kuna fedha  imetolewa tena  na Mhe.Rais Dkt. kwa ajili ya kutengeneza abulence boti mbili hivyo kufikia Disemba mwaka huu  zitakuwa zimefika eneo hilo kwa ajili ya kusaidia kubeba wagonjwa"alieleza Magembe.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.