• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS Mwanza awataka Watumishi wa Umma kusimamia weledi Utekelezaji mradi wa FIKIA

Posted on: August 29th, 2023

RAS Mwanza awataka Watumishi wa Umma kusimamia weledi Utekelezaji mradi wa FIKIA


Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Daniel Machunda amewataka watumishi wa umma wanaohusika katika utekelezaji wa mradi wa FIKIA PLUS kufanya kazi kwa bidii na weledi na kuhakikisha wanafikia asilimia 100 za matumizi ya fedha za mradi zilizotengwa katika bajeti.

Ametoa maagizo hayo leo wilayani Misungwi kwenye kikao kazi cha siku 2 cha tathmini na maandalizi ya mpango kazi na bajeti mpya ya Mradi wa FIKIA PLUS unafadhiliwa na Shirika la ICAP kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Gwambina Hoteli.

Amesema, Mkoa umewahaikishia Wafadhili yaani ICAP na CDC kuwa utatoa ushirikiano katika utekelezaji wa mradi huo ili kuhakikisha unatekelezwa kwa viwango vya juu  na amewapongeza ICAP kwa kuwa na ushirikishaji katika maandalizi ya bajeti ya mradi huo.

Amebainisha kuwa kwa kipindi cha miaka 2 iliyopita ya mradi kama mkoa hatukuweza kuwa na matumizi ya fedha kwa asilimia 100 jambo ambalo siyo sawa kutokana na kuwepo kwa mahitaji makubwa katika kufikia malengo ya kupambana na kuthibiti maambukizi ya Ukimwi kwenye Jamii.

Aidha, Machunda amefafanua kuwa

mwaka wa fedha wa mradi huo unaaanza Oktoba 2023 na kuisha Septemba 2024 na kwamba kikao hicho kimefanya tathmini ya utekelezaji wa mradi kwa mwaka 2022/2023 na kuandaa mpango kazi na bajeti ya 2023/2024.

Mkoa wa Mwanza umejipanga kuendelea na mapambano dhidi ya UKIMWI na udhibiti wa maambukizi mapya ili kufikia lengo la kitaifa la kuwa na maambukizi mpya sifuri ifikapo 2030.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.