• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AWATAKA VIJANA KUCHANGAMKIA FURSA ZINAZOPATIKANA

Posted on: December 6th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ametoa wito kwa Vijana waliomaliza Vyuo Vikuu, Kati na Ufundi kutafuta fursa sahihi pale wanapomaliza elimu ya vyuo na kuacha tabia ya kulalamika kwani jamii ya sasa inahitaji vijana wenye uwezo wa kutatua matatizo yanayoikabili jamii.

Mhe. Mtanda amesema matamanio ya Taifa ni kuona vijana wake wakiwa ni watu wenye uwezo wa kuzalisha mali kwa maslahi mapana ya maendeleo ya taifa kupitia fursa na uzoefu wanaopewa kutoka katika Taasisi za Umma na Binafsi.

Mkuu wa Mkoa ametoa wito huo mapema leo Desemba 06, 2025 wakati alipokuwa kaifungua Kongamano la Fursa lililowakutanisha Vijana waliomaliza Vyuo mbalimbali Waishio Mkoani Mwanza katika ukumbi wa Kwatunza uliopo Wilayani Ilemela.

Aidha, Mhe. Mtanda amesema kuwa vijana wanapaswa kupata taarifa sahihi zihusuzo fursa mbalimbali ili ziwawezeshe kujiondoa kutoka sehemu moja kwenda nyingine katika nyaza zote za kimaisha kwani upatikanaji wa taarifa sahihi ndio chachu ya hamasa na kujia ukweli wa upatikanaji wa fursa.

Halikadhalika, Mkuu wa Mkoa amesema kuwa idadi kubwa kwa sasa ya vijana hapa nchini ni vijana walio wasomi hivyo serikali inao wajibu wa kutengeneza mazingira wezeshi kupitia sekta binafsi ili kuweza kukabiliana na changamoto kubwa za ajira.

Mkuu wa Mkoa amesema pia kongamano hilo limelenga kunadi fursa ziliopo katika sekta binafsi kwani kupitia sekta hizo zitasaidia kupunguza wimbi la ukosefu wa ajira kwa vijana wengi wanaomaliza vyuo hapa nchini.

“Kupitia sekta hizo vijana watapa fursa za kujiajiri, kukabiliana na mazingira wanayoishia, kupata ujuzi zaidi wa elimu walizosomea pamoja na kupata mitaji itakayowawezesha kujiendeleza kimaisha”.

Aidha amesema kuwa ni muhimu pia kwa vijana kutumia vyema mitandao ya kijamii katika kutafuta fursa za kimaendeleo na kuacha tabia ya kutumia kwa matumizi yasiyofaa.

Sambamba na hayo Mkuu wa Mkoa amewataka vijana kutoa ushauri sahihi kwa serikali juu ya njia bora na sahihi itakayosaidia vijana kutambua fursa na kuwa sehemu ya kutatua changamoto zinazowakabili katika mazingira wanayotoka.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RAS BALANDYA AMEWATAKA WAHITIMU IFM KUWA MABALOZI WAZURI WA CHUO CHAO

    December 06, 2025
  • RC MTANDA AWATAKA VIJANA KUCHANGAMKIA FURSA ZINAZOPATIKANA

    December 06, 2025
  • SERIKALI YATENGA FEDHA KUKAMILISHA MIRADI YA MAENDELEO MWANZA - DKT. NCHEMBA

    December 05, 2025
  • DKT. NCHEMBA ATOA POLE KWA WANANCHI WALIOHARIBIWA MALI KUTOKANA NA VURUGU MKOANI MWANZA

    December 05, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.