• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RMO MWANZA AONGOZA ZIARA YA MAFUNZO YA USAFI NA MAZINGIRA MKOANI IRINGA

Posted on: July 21st, 2025

Katika kuimarisha jitihada za kuboresha hali ya usafi wa mazingira na kuimarisha huduma za afya kwa wananchi, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa kushirikiana na halmashauri zake leo Julai 21, 2025 wameanza ziara ya siku 4 ya mafunzo Mkoani Iringa.


Kiongozi wa timu hiyo RMO Mwanza Dkt. Lebba amebainisha kuwa malengo kuwa ni kujifunza mbinu bora na mafanikio ya Mkoa wa Iringa katika kusimamia masuala ya afya na usafi wa mazingira, ili uzoefu huo uweze kutumika kuleta maboresho ndani ya Mkoa wa Mwanza.

Amesema, wakiwa mkoani humo washiriki watatembelea Halmashauri ya Manispaa ya Iringa na Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, ambapo wanatarajiwa kujifunza kwa vitendo juu ya mifumo ya usimamizi wa usafi wa mazingira, ushirikishwaji wa jamii, na mbinu za kuzuia magonjwa ya mlipuko kupitia mazingira safi.


Katika siku ya kwanza ya ziara hiyo Dkt. Lebba na timu yake wamefika katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa na kujitambulisha kwa Mhe. Henry James Mkuu wa Mkoa huo na baadaye wamezungumza na Timu ya Menejimenti ya Afya Mkoa wa Iringa (RHMT).


Timu hiyo inajumuisha Afisa Afya wa Mkoa, Katibu wa Afya wa Mkoa, pamoja na Waganga Wakuu wa Halmashauri za Mkoa, pia inahusisha Maafisa Afya kutoka Halmashauri za Jiji la Mwanza, sengerema, misungwi na Ilemela.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAKULIMA WAASWA KUTUMIA TEKNOLOJIA KUFANYA KILIMO CHA KISASA

    August 02, 2025
  • RMO MWANZA AONGOZA ZIARA YA MAFUNZO YA USAFI NA MAZINGIRA MKOANI IRINGA

    July 21, 2025
  • RAS BALANDYA ATOA MAAGIZO UTEKELEZAJI WA MIRADI SENGEREMA

    July 30, 2025
  • UIMARISHWAJI WA MIFUMO YA KIELETRONIKI IMEONGEZA UWAJIBIKAJI – RAS BALANDYA

    July 23, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.