• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Serikali kuongeza miradi kumi ya maendeleo Wilayani Magu

Posted on: February 22nd, 2023


Wilaya ya Magu itaendelea kunufaika na miradi mbalimbali ya kuwaletea maendeleo wananchi kwa kuongezewa mingine kumi mwaka huu ukiwemo ujenzi wa madarasa manne na Maabara moja kwenye shule ya Sekondari Igekemaja ambayo bado haijaanza rasmi.

Akizungumza na wananchi Wilayani Magu kwenye Vijiji vya Ihayabuyagu na Igekemaja alivyovitembelea kukagua miradi ya TASAF, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe.Jenista Mhagama amesema Serikali ipo imara kuharakisha maendeleo ya wananchi wake hivyo ni wajibu kwa viongozi kuisimamia kikamilifu.

Waziri Mhagama amebainisha kuwa miradi inayotekelezwa na TASAF fedha zake zinaletwa mapema kwenye Halmashauri hivyo anataka kuona miradi hiyo inakamilika kwa wakati.

"Nimekagua nyumba hizi za Watumishi wa afya hapa Ihayabuyaga sijaridhishwa na kutokamilika mapema hadi leo wakati fedha zimeletwa tangu Aprili mwaka jana,hii yote itachangia kuwacheleweshea Wananchi maendeleo".Waziri Mhagama.

"Tunatambua umuhimu wa miradi hii ya TASAF inavyo leta mageuzi chanya kwa wanachi,tunakuahidi Mhe.Waziri kuifuatilia ili kujiridhisha inaendelea kuwa na tija kwa wanufaika"Joachim Otaru kaimu Katibu Tawala Mkoa

*Mhe Waziri tunamshukuru Mhe.Rais kwa kutujali watu wa Magu TASAF imetoa Shs milioni 103 kwa ujenzi wa nyumba hizi za Watumishi wa afya na madarasa mawili Sekondari ya Igekemaja zimetolewa Shs milioni 64,tunaendelea kumuunga mkono kwa vitendo ikiwemo kuwashirikisha wananchi ujenzi wa Kituo cha afya hapa Ihayabuyaga"Rachael Kasanda Mkuu wa Wilaya ya Magu.

"Kutujengea madarasa haya mawili kupitia mradi wa TASAF kwenye shule hii ya Igekemaja,hali hii imezidi kutuongezea ari sisi wananchi kuendelea kuchangia nguvu zetu ili kuikamilisha haraka na watoto wetu waanze masomo haraka" Mhe.Deusdery Kiswaha Mbunge wa Magu

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.