• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

VIONGOZI WA CCK NA MAKINI TAIFA WAMPA KONGOLE RC MTANDA USIMAMIZI WA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

Posted on: November 28th, 2024

VIONGOZI WA CCK NA MAKINI TAIFA WAMPA KONGOLE RC MTANDA USIMAMIZI WA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA


Viongozi wa Vyama vya Makini na CCK Taifa wamempongeza Mkuu wa Mkoa wa Mwanza na Wasaidizi wake katika kuhakikisha uchaguzi Mkoani humo umefanyika kwa utulivu na amani.

Pongezi hizo zimetolewa na Viongozi hao mapema leo Novemba 28, 2024 katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, na Mwenyekiti wa Makini Taifa Mhe. Coaster Kibonde na Mwenyekiti wa CCK Taifa Mhe. David Mwaijojele.


Akizungumza na Waandishi habari Mhe. Kibonde amesema Mkoa wa Mwanza ni Mkoa pekee ambao umeonesha dhahiri kuendana na zile R nne za Mhe. Rais Dkt. Samia kwa kusimamia na kutekeleza demokrasia kwa haki na usawa.

"Mimi kama Mwenyekiti wa Kitaifa nilipofika Mwanza tu niliuliza vipi kuna wagombea wowote walioenguliwa nilijibiwa hapana hakuna alienguliwa na ndivyo hali ilivyokuwa'. Mwenyekiti wa Chama cha Makini Taifa.


Naye Mwenyekiti wa CCK Taifa amesema kwa siku ya jana alifanikiwa kutembelea baadhi ya Vituo vya kupigia kura katika Mkoa wa Mwanza na kuwahoji baadhi ya wapiga kura kuhusu namna zoezi hilo lilivyokuwa likiendelea na kubaini kuwa hakukua na buguza ya aina yoyote, utulivu na amani vilitawala.


"Nawapongeza Mkoa wa Mwanza kwa utulivu na watu kushiriki kampeni mpaka jana uchaguzi kwa amani na utulivu licha ya uwepo wa mvua kubwa hata kuengua engua hatujaskia kabisa hivyo nawapongezeni sana na ninampa RC Mtanda Big Up". Mhe. Mwaijojele.


Kuhusu kushinda au kushindwa Viongozi hao wamesema wataendelea kuwapongeza na kuwaunga mkono wale wote watakaoshinda kwa kuwa sasa uchaguzi umeisha na zoezi lililobaki ni kuungana kama Taifa na kujadili kuhusu maendeleo.

Aidha Viongozi hao wameishukuru Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa kusimamia vyema uchaguzi kuanzia zoezi la uchukuaji fomu mpaka upigaji kura uliofanyika hapo jana ambapo zoezi linaloendelea kwa sasa ni utangazaji wa matokeo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.