• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

BARABARA YA LAMI YANOGESHA UTALII KUELEKEA MAKUMBUSHO YA BUJORA

Posted on: September 18th, 2024

BARABARA YA LAMI YANOGESHA UTALII KUELEKEA MAKUMBUSHO YA BUJORA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amesema Serikali kupitia Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) Wilayani Magu imejenga barabara ya kiwango cha lami nyepesi Kisesa -Bujora yenye kilomita 1.23 kwa zaidi ya Tshs. Bilioni 1.4 ambayo itachochea utalii kuelekea kituo cha Utamaduni cha Bujora na Makumbusho ya kabila la Wasukuma.

Amebainisha hayo leo Septemba18, 2024 wakati akikagua mradi huo muhimu kwenye eneo la Bujora ambapo amefafanua kuwa pamoja na kuchagiza utalii itasaidia pia kurahisisha huduma ya usafiri na usafirishaji wa abiria na mazao ya kilimo kwa wananchi wa Bujora, Kanyama na Kisesa Wilayani Magu.

Aidha, Mhe. Mtanda ametoa wito kwa wananchi kuitunza miundombinu hiyo na kuhakikisha inakua kwenye hali ya usafi wakati wote na akawaagiza TARURA kuweka taa za barabarani kwenye eneo lililobaki ili kuwahakikishia wananchi usalama wakati wanaitumia barabara hiyo.

Awali akiwasilisha taarifa ya mradi huo, Meneja wa TARURA wilaya ya Magu Mhandisi Musa Mzimbili amefafanua kuwa mradi huo ambao umekamilika tangia 2023 umehusisha ujenzi wa barabara, mitaro ya maji, vivuko vya watembea kwa miguu, makaravati pamoja na taa 400.

Katika wakati mwingine, Mkuu wa Mkoa amekagua ujenzi wa wodi ya wazazi katika kituo cha Afya Nyanguge inayojengwa kwa zaidi ya Milioni 250 za mapato ya ndani ambapo ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Magu kukamilisha ujenzi huo kwa wakati ili kusaidia kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.