• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

CUHAS BINGWA WA TAMSA CUP 2024/25, RMO MWANZA AWAPA KIKOMBE NA FEDHA TASLIMU

Posted on: March 1st, 2025

CUHAS BINGWA WA TAMSA CUP 2024/25, RMO MWANZA AWAPA KIKOMBE NA FEDHA TASLIMU


Katibu Tawala Msaidizi Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa amefunga rasmi michuano ya jumuiya ya wanafunzi wa udaktari kutoka chuo cha Bugando (CUHAS) na Mwanza University katika uwanja wa CCM Kirumba.

Akizungumza baada ya kumalizika kwa mtanange mkali wa fainali uliowapa ushindi timu ya Bugando waliowapa kichapo cha mabao saba kwa nunge vijana wa Mwanza University Dkt. Lebba amewapongeza washindi hao na amewakabidhi Kikombe pamoja na fedha taslimu kiasi cha Tshs. 750,000

Dkt. Lebba ametumia wasaa huo kuwapongeza wanafunzi hao kwa kuandaa michuano hiyo huku akibainisha kuwa michezo kama sehemu ya mazoezi inasaidia kuimarisha afya na kuondoa msongo wa mawazo na kuwafanya wawe timamu kiakili katika masomo darasani.

"Michezo ni sehemu ya mazoezi hivyo nawapongeza sana nyie binafsi kama Serikali ya wanafunzi kwa kuandaa michuano hii kwani itawaimarisha kiafya na kuwafanya muwe na utayari wa kupokea maarifa darasani." Dkt. Lebba.

Aidha, Mganga Mkuu amewapongeza wanafunzi hao kwa ubunifu hadi kufanikisha Kongamano la Kisayansi pamoja na kambi ya uchunguzi wa magonjwa yasiyoambukiza matukio waliyoyafanya mwishoni mwa mwaka 2024 na kuleta tija kwa jamii na Taifa.

Michuano ya TAMSA CUP 2025 imefanyika katika Viwanja vya CCM Kirumba Wilayani Ilemela kwa kipindi cha mwezi mmoja huku ikizikutanisha timu sita kutoka kwenye vyuo hivyo viwili vya Afya na Sayansi chini ya kaulimbiu isemayo “Michezo kwa Afya Bora ya Akili”.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.