• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RMO MWANZA AZINDUA KAMBI YA UPIMAJI AFYA KWA WANANCHI

Posted on: January 31st, 2026

Mganga Mkuu Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba jana Januari 31. 2026 amezindua kambi ya kupima afya iliyoandaliwa kwa ushirikiano kati ya Chama cha Wanafunzi wa Udaktari Tanzania (TAMSA) pamoja na taasisi ya The desk and chair foundation na yenye lengo la kupima afya na kutoa ushauri nasaha kwa wananchi.

Akizungumza baada ya kuzindua kambi hiyo iliyofanyika Mkoani Mwanza Dkt. Lebba ameshiriki zoezi la kuchangia damu huku akitoa wito kwa wananchi kujenga tabia ya kupima afya mara kwa mara ili waweze kujua hali zao za afya pamoja na kupata ushauri nasaha kutoka kwa wataalamu.

Aidha, ameongeza kwa kuwataka wananchi kua wanajitokeza kwa wingi katika kambi za matibabu ambapo zimeandaliwa na wataalamu huku akisistiza kua kupima afya ni muhimu kwani inasaidia katika kuchukua hatua stahiki na kwa wakati.

Sambamba na hayo Dkt. Lebba amewapongeza wanafunzi hao kwa kuandaa kambi ya uchunguzi kwa kushirikiana na wadau kwani kambi hiyo imeweza kuwagusa wananchi mbalimbali ambao hawakua na uwezo wa kufika hospitali kuangalia afya zao.

Kadhalika amewahamasisha wananchi kujiunga na huduma ya bima ya afya kwa wote ambayo itasaidia katika upatikanaji wa huduma kwa watu wote pamoja na kupunguza gharama za matibabu.

Kambi hiyo ya matibabu ni sehemu ya kusogeza huduma za afya karibu na wananchi huku kauli mbiu yake ikiwa ni ‘Anza mwaka kwa kujua afya yako’.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MADIWANI MWANZA WAJENGEWA UWEZO UONGOZI NA USIMAMIZI WA MAENDELEO

    February 02, 2026
  • SERIKALI NA MCHANGO WAKE KATIKA USTAWI WA MAHAKAMA, MAENDELEO YA TAIFA NA UPATIKANAJI WA HAKI

    February 02, 2026
  • RMO MWANZA AZINDUA KAMBI YA UPIMAJI AFYA KWA WANANCHI

    January 31, 2026
  • NYANZA YATAKIWA KUHAKIKISHA PEMBEJEO ZA PAMBA ZINAWAFIKIA WAKULIMA KWA WAKATI

    January 30, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.