• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

FURSA ZA KIUCHUMI ZACHOMOZA KWENYE MDAHALO WA KITAIFA,MWANZA

Posted on: April 16th, 2025

FURSA ZA KIUCHUMI ZACHOMOZA KWENYE MDAHALO WA KITAIFA,MWANZA


Mdahalo wa Kitaifa kuhusu ubia kati ya sekta ya umma na  binafsi umefanyika Jijini Mwanza, ukilenga kuchochea ushirikiano endelevu kwa maendeleo ya kiuchumi kwa ujumla.

Akizungumza katika mdahalo huo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi, Chagu Ng'h'oma, Katibu Tawala msaidizi sehemu ya  Miundombinu amesema  Mkoa wa Mwanza ni kitovu muhimu cha uchumi wa Kanda ya Ziwa kutokana na nafasi yake ya kipekee kijiografia na uwepo wa Rasilimali hiyo

"Mwanza ni lango kuu la biashara ndani na nje ya nchi kupitia Ziwa Victoria. tunawakaribisha wawekezaji kuja kuwekeza katika uchumi wa bluu hasa uvuvi, usafirishaji majini, na utalii wa ziwani pamoja na sekta ya ufugaji wa kisasa wa samaki kwa njia ya vizimba,"

Ameongeza kuwa Serikali ya Mkoa wa Mwanza imeweka mazingira rafiki kwa wawekezaji, ikiwa ni pamoja na kuboresha miundombinu ya barabara, bandari, na maeneo ya viwanda, ili kuhakikisha miradi ya ubia kati ya sekta ya umma na binafsi inatekelezwa kwa ufanisi.

Akizindua mdahalo unaohusisha makundi mbalimbali ya jamii ikiwemo sekta binafsi na wanahabari kuhusu dira ya Taifa ya maendeleo ya mwaka 2050 jijini Mwanza, Naibu waziri wa nchi ofisi ya Rais mipango na uwekezaji Stanslaus Nyongo amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira wezeshi ili kila mtanzania kutumia fusra zilizopo.

Kwa upande wake Mkurungenzi Mtendaji wa kituo cha ubia katia ya sekta ya umma na binafsi PPPC David Kafulila amesema kutokana na ufanisi wa ushirikiano kati ya sekta hizo mbili  Serikali inalenga kuongeza uwekezaji katika miradi mbalimbali.

Mdahalo huo umetajwa kuwa jukwaa muhimu la kuibua changamoto, mafanikio na mikakati ya kuendeleza miradi ya maendeleo kupitia ubia huo, huku wito ukitolewa kwa sekta binafsi kuchangamkia fursa zilizopo ndani ya mkoa huo na Tanzania kwa ujumla.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.