• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Fursa za Uwekezaji Mwanza Zaivutia Korea ya Kusini

Posted on: February 27th, 2018


Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza imepokea wageni kutoka Korea ya Kusini wakiwakilisha Kampuni za uwekezaji zilizopo Nchini humo kwa ajili ya kutafuta fursa za uwekezaji Mkoani Mwanza baada ya kutembelea Tovuti ya Mkoa na kusoma Mwongozo wa Uwekezaji.

Akiwatambulisha wageni hao, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Wazawa yenye makazi yake Zanzibar ijulikanayo kama Drums of Africa Limited  Bwana Harun B. Mohamed ambaye ni mwenyeji wao amesema, Kampuni yake imepokea  wageni hao wakiwa ni Kampuni mbili tofauti (U & I  International) na (EK Engineering) na wana nia na uwezo wa kutaka kuwekeza Mkoani hapa.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella amewakaribisha wawekezaji hao na kuwaambia kuwa Mkoa umejipanga kuhakikisha kwamba unafanikisha sera ya viwanda na kuifanya Tanzania kuwa ni Nchi  ya uchumi wa kati  kwa kuweka mazingira wezeshi  kwa wawekezaji.

“Kwa kuwa mmeonyesha nia ya kuwekeza Mwanza sisi tumefarijika na tupo tayari kuwapa ushirikiano wa hali ya juu kulingana na maeneo mtakayotaka kuwekeza” alisema Mongella.

Aidha, Mhe. Mongella amewataka wawekezaji wote wa ndani na nje kufika Mwanza kuona fursa na kuwekeza kwa kuwa uwekezaji Mwanza unatija kubwa kwa mwekezaji kwani Mkoa umejipanga, pia ni sehemu inayofikia kwa urahisi zaidi.

Naye, Bwana John Kim akiwakilisha Kampuni ya U & I International amesema amefarijika sana na mapokezi kwani ni mara ya kwanza kufika Mkoani hapa, hivyo wanakwenda kupitia mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mwanza waone ni sehemu gani wanaweza kuwekeza.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.