• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

LENGO LANGU KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU WA ELIMU NI KUINUA KIELIMU MKOA WA MWANZA-RC MAKALLA

Posted on: July 4th, 2023

LENGO LANGU KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU WA ELIMU NI KUINUA KIELIMU MKOA WA MWANZA-RC MAKALLA


*Nipo mbioni kuitisha kikao kikubwa na wadau wa Elimu ili kupanga mikakati ya Mwanza kuwa bora kielimu*


*Aipongeza Serikali kwa kuendelea kuiboresha Sekta ya Elimu nchini*



Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.CPA.Amos Makalla amesema kwa kushirikiana na Wadau wa Sekta ya Elimu atahakikisha anauinua Mkoa huo kielimu ukiwa ni mkakati wa kuiunga mkono Serikali inayoendelea kuiboresha Sekta hiyo.

Akizungumza leo Ofisini kwake na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolph Mkenda, Mkuu huyo wa Mkoa amebainisha ili kuwa na Taifa imara lenye kujiamini kimaendeleo elimu ndiyo msingi wa yote hivyo hana budi kuwa na mikakati endelevu ya Mwanza kuwa kinara kielimu.

"Mhe.Waziri hivi karibuni nina mpango wa kukutana na wadau wa elimu Mkoani Mwanza ili tuzungumze kwa pamoja na kuweka mikakati madhubuti ya Mkoa huu kuwa bora kielimu," CPA Makalla.

Kwa upande wake Mhe. Prof Mkenda amesema ziara yake Mkoani Mwanza na Mara ni kujiridhisha na Maendeleo yanayofanywa na Wizara yake ikiwemo kukagua ujenzi wa Chuo cha Teknolojia Da re-s-Salaam Tawi la Mwanza.

"Pale Butimba leo Mhe. Mkuu wa Mkoa nitafungua Mafunzo Endelevu kwa Walimu Kazini (MEWAKA) yanayotolewa kwa Maafisa elimu kata kutoka Mikoa nane ya Tanzania Bara, yote hii ni mikakati ya Serikali kuhakikisha tunainua Sekta ya Elimu," amesisitiza Mhe. Prof Mkenda.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MWANZA, SIMIYU ZANG'ARA UTAMILIFU DARASA LA SABA KANDA YA ZIWA

    May 30, 2025
  • RAS MWANZA AZINDUA RASMI MRADI WA KUPAMBANA NA UGONJWA WA SELI MUNDU

    May 30, 2025
  • WAANDISHI WA HABARI MWANZA WAPIGWA MSASA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA WATOTO WA MITAANI

    May 29, 2025
  • RAS MWANZA AWATAKA VIONGOZI WA UMMA KUDUMISHA NIDHAMU NA UFANISI KAZINI

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.