• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba yatoa dawa Zahanati ya Gereza la Butimba Mwanza

Posted on: June 29th, 2022


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Mhandisi Robert Gabriel amekabidhi Dawa zenye thamani ya Tshs Milioni 27 zilizotolewa na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba kanda ya Ziwa (TMDA) kwa Zahanati ya Gereza la Butimba.


Akizungumza kwenye hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika kwenye Zahanati hiyo leo Juni 29, 2022 Mhe. Mkuu wa Mkoa amewashukuru TMDA kwa msaada utakaosaidia kuboresha huduma na ametoa rai kwao kuendelea kufanya ukaguzi  kwa mujibu wa sheria ili wananchi waendelee kupata Dawa zilizo salama.

Aidha, amewaagiza Gereza hilo kufanya kazi kwa weledi katika kuimarisha huduma. "Tunatamani tuone huduma za afya hapa zinatolewa kwa viwango vya juu zaidi na sasa tupate mahitaji ya dawa na vifaa tiba zaidi vinavyohitajika hapa kutokana na historia ya magonjwa yanayoibuka zaidi." amesema.


"Mhe Mkuu wa Mkoa, hiki kituo hakitoi huduma kwa wafungwa pekee, kinatoa hadi kwa wananchi na wamekua wakisifiwa makamanda hawa kwa huduma nzuri na hakuna malalamiko kutoka kwa wananchi dhidi ya huduma zinazotolewa hapa." Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Mhe. Amina Makilagi.

Akiongea wakati wa makabidhiano ya Dawa, Meneja wa TMDA Kanda ya Ziwa Mashariki Bi Sophia Mziray amesema wao kama wadhibiti wa ubora, ufanisi na Usalama wa Dawa, Vifaa Tiba na Vitendanishi wanaamini dawa hizo zitasaidia kuongeza huduma kwenye Zahanati hiyo.

"Kwa siku tunahudumia kati ya wateja 60 hadi 80 na tumekua na changamoto ya dawa kadhaa kwenye kituo chetu hivyo kwa kupata dawa hizi itatusaidia sana kuongeza huduma kwa wafungwa na wananchi." Dkt Ramadhani Kinyunyi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.