• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MICHEZO INA NAFASI KUBWA YA KUTANGAZA UTALII:RC MTANDA

Posted on: July 7th, 2024

MICHEZO INA NAFASI KUBWA YA KUTANGAZA UTALII :RC MTANDA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Said Mtanda ameshiriki mbio za kuhamasisha Utalii mkoani humo maarufu kama Transec Lake Victoria Marathon na kusisitiza michezo ni njia muhimu ya  kutangaza na kukuza utalii ikiwemo na vyakula vya kitamaduni.

Akizungumza leo Julai 7,2024 kwenye uwanja wa Nyamagana mara baada ya kuhitimishwa Marathon hiyo ambayo naye ameshiriki,amebainisha Mwanza una vivutio vingi vya utalii hivyo juhudi inayotakiwa sasa ni Jamii kuvitangaza ili viweze kujulikana ndani na nje ya nchi

Aidha amewapongeza waandaaji wa mbio hizo kwa ubunifu huo unaohitaji kuigwa pia wakimbiaji wote wa walioshiriki kilomita tofauti  kama km 21,km10,km 5, na km 2 na washindi kupata nishani na zawadi ya pesa zilizotolewa.

"Sekta ya utalii inachangia pato la Taifa kwa asilimia 17 kwenye GDP ya nchi vivyo hivyo inatoa ajira kwa watanzania zaidi ya milioni 1.6 hivyo ni sekta muhimu kwa Taifa letu",Mkuu wa Mkoa.

Naye Mkuu wa Kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Mwanza Sunday Peter amewashukuru wakimbiaji kwa kuwa na nidhamu na kufuata maelekezo wakati wa mbio hizo na kuwezesha kikosi cha usalama barabarani kufanya kazi yao kwa wepesi .

Kwa upande wake Rais wa Chama cha Riadha Tanzania Silas Wambura amesema ametoa wito kwa wanamichezo kushiriki mbio mbalimbali zinazoandaliwa nchini ili kuwapata washiriki bora watakao iwakilisha Tanzania katika medani  kimataifa.

Mbio hizo zilikuwa na lengo la kuhamasisha utalii wa ndani kanda ya ziwa pamoja na kuchangia taulo za kike kwa wasichana.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI MWANZA

    May 10, 2025
  • SERIKALI KUNUNUA MTAMBO RASMI WA KUSAFISHA ZIWA VICTORIA

    May 10, 2025
  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.