• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mikakati ya mkoa kuudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa Kipindupindu inaendelea: Dkt. Rutachunzibwa

Posted on: January 15th, 2024

Mikakati ya mkoa kuudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa Kipindupindu inaendelea: Dkt. Rutachunzibwa


Leo Januari 15, 2024 Mganga mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dkt.Thomas Rutachunzibwa ameendelea na vikao kwenye ukumbi wa Ofisi yake na kamati za kisekta za Mkoa za kuudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa Kipindupindu.

Kamati hizo zinazoundwa na wajumbe kutoka Wizara ya afya na taasisi mbalimbali yakiweno mashirika yasiyo ya Kiserikali yanayotoa huduma za afya,vikao hivyo vya kila siku wanajadiliana majukumu mbalimbali wanayopeana ya kupambana na ugonjwa huo kwenye Wilaya za Nyamagana na Ilemela.

Akizungumzia mikakati hiyo Dkt. Ruta amebainisha wajumbe hao wanakutana mara mbili kwa siku asubuhi kupeana taarifa za nini cha kufanya siku husika na jioni kupata mrejesho na changamoto za kufanyiwa kazi kwenye kwenye maeneo yote husika.

"Tumeunda Sekta za kimkakati mfano tuna MWAUWASA,RUWASA na Maabara ya maji majukumu yao ni kuhakikisha vyanzo vyote vya maji vinatambuliwa na kutibiwa,kupima ubora wa maji yanayotumiwa na wananchi kupitia mifumo rasmi na isiyo rasmi,"amefafanua mganga mkuu wa mkoa.

Amesema sekta ya elimu kwa kushirikiana na sekta ya afya watafanya ukaguzi wa vyoo vinavyotumika na walimu pamoja na wanafunzi,kuzuia uuzaji holela wa vyakula na matunda shuleni na uwepo wa sehemu maalum za kunawa mikono zenye maji tiririka na sabuni.

"Sekta ya Tarura na Tanroad watakuwa na jukumu la kufanya ukaguzi wa mitaro yote ya barabarani ili kuepusha takataka kusambaa maeneo yasiyo husika na kuhakikisha barabara zote zinapitika ili kurahisisha usafirishaji wa wagonjwa kwa urahisi huku sekta ya viongozi wa dini wanatakiwa kutoa elimu kwa waumini wao na kuwa na vyoo bora na kutumika,"Dkt.Rutta.

Dkt.Ruta ambaye ni Mwenyekiti wa kamati hiyo mkoa amesema sekta ya wataalamu wa afya,Ustawi wa jamii na Lishe wanatakiwa kuandaa kambi za matibabu ya wagonjwa,na kuhakikisha kila halmashauri ina mahitaji yote muhimu kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.