• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MIRADI YA ZAIDI YA SHS BILIONI 2 YAKAGULIWA H/YA BUCHOSA,RAS MWANZA ATOA MAAGIZO

Posted on: September 13th, 2024

MIRADI YA ZAIDI YA SHS BILIONI 2 YAKAGULIWA H/YA BUCHOSA,RAS MWANZA ATOA MAAGIZO


Halmashauri ya Buchosa Wilayani Sengerema imepewa maagizo ya kuharakisha miradi ya maendeleo na pia kusimamia na kufuatilia miradi ya vijana inayotokana na mikopo ya asilimia.

Rai hiyo imetolewa leo Septemba 13,2024 na Katibu Tawala wa mkoa wa Mwanza Ndugu Balandya Elikana alipofanya ukaguzi wa baadhi ya miradi yenye thamani ya zaidi ya shs bilioni mbili na kusisitiza ni lazima ikamilike kwa wakati ili iwe na tija kwa wananchi.

Akiwa kwenye kituo cha afya Nyakasungwa kilichogharimu shs milioni 250 fedha zilizotokana na mapato ya ndani lakini bado hakijaingiziwa umeme na maji,mtendaji huyo wa Mkoa amemtaka mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Benson Mihayo kukaa na Taasisi husika ili kukamilisha haraka.

"Hiki kituo ni lazima kiwe na maji muda wote na pia akiba ya maji kutokana na aina ya kazi yake,fanyeni utaratibu wa kuvuna maji ya mvua ili kujiwekea akiba,"Balandya.

Amesema Serikali ya awamu ya sita inazidi kuiboresha sekta ya afya hivyo anaamini kwa juhudi za halmashauri hiyo kituo hicho kitakuja kutoa huduma bora kwa wananchi

Kuhusu miradi ya vijana inayotokana na mkopo wa asilimia kumi amevipongeza vikundi vinavyofanya vizuri na kurejesha fedha kwa wakati lakini akawakumbusha Maafisa mipango kuweka utaratibu wa kuwasimamia vyema ili fedha hizo za mkopo ziwanufaishe na wengine.

Aidha amemtaka Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe.Senyi Ngaga kuwaelimisha wananchi kutumia maji safi na salama waliyowekewa na Serikali baada ya kupata taarifa ya baadhi ya wananchi kutoyapenda maji hayo na kuyatumia yale yasiyo salama kwa madai yaliyowekewa dawa ya kuuwa vijidudu hayana ladha.

Katibu Tawala huyo anaendelea na zoezi la kukagua miradi ya maendeleo na Septemba 14,2024 atakuwa Halmashauri ya Sengerema.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.