• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MKANDARASI DARAJA LA MABATINI ATAKIWA KULIKAMILISHA KWA WAKATI

Posted on: April 10th, 2025

MKANDARASI DARAJA LA MABATINI ATAKIWA KULIKAMILISHA KWA WAKATI


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo Aprili 10, 2025 amekagua ukarabati wa Daraja la Mabatini unaofanywa na kampuni ya Nyanza Roads Work na kumtaka mkandarasi huyo kukamilisha ndani ya muda aliyopewa wa mwaka mmoja.

Akizungumza na mkandarasi huyo pamoja na wananchi katika eneo la ujenzi la Mabatini wilayani Nyamagana, Mhe. Mtanda amesema hatovumilia ucheleweshaji endapo halitakamilika mwishoni mwa mwaka huu.

"Tayari nimesikia mkandarasi umeshalipwa na Serikali fedha za utangulizi Tshs. Milioni 600 na makubaliano ya mkataba ni muda wa mwaka mmoja hivyo nataka kuona Novemba mwaka huu kazi hii iwe imekamilika', amesema Mtanda.

Aidha, amebainisha kuwa eneo hilo ni barabara kuu ya kwenda mikoa ya Mara na Simiyu hivyo hakuna sababu ya kuendelea kuwacheleweshea shughuli za kiuchumi wananchi na amewataka Wakala ya Barabara TANROADS kusimamia kwa karibu kazi hiyo.

Kwa upande wake Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Paschal Ambroce amesema ukarabati wa daraja hilo umegharimu zaidi ya Tshs bilioni 6.3 na licha ya changamoto ya hali ya hewa hivi sasa ya mvua lakini watahakikisha mkandarasi huyo anafanya kazi hiyo usiku na mchana ili aikamilishe kazi hiyo kwa wakati waliyokubaliana.

"Ukarabati huu umeigharimu miundombinu yetu kuhamishika kazi ambayo imesababisha kuwepo na ukosefu wa maji siku za nyuma lakini hivi sasa hall ya upatikanaji wa huduma ya maji imerejea kama kawaida kasoro maeneo machache ya pembezoni mwa Jiji kutokana na kazi ya kutandaza mabomba inaendelea', Nelly Msuya,Meneja MWAUWASA mkoa wa Mwanza.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.