• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

"MSD leteni vifaatiba kwa wakati"_ Kabeho

Posted on: August 29th, 2018

Bohari kuu ya dawa nchini-MSD imeshauriwa kuharakisha zoezi la kusambaza vifaa tiba katika kituo cha afya cha kagunga wilayani sengerema mkoani mwanza ili kuwezesha zaidi ya wakazi elfu hamsini wa kata za kagunga,igalula pamoja na maeneo jirani kupata huduma za afya.

Wito huo umetolewa na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa Charles Kabeho wakati akiweka jiwe la msingi la msingi la ujenzi wa majengo matano ya kituo cha afya cha kagunga ambao umeigharimu serikali shilingi millioni 402.

"MSD yawezekana wana ratiba zao za kutoa bifaa tiba lakini mimi niwaombe pale vituo vya afya na hospitali zinapokamilika  waharakishe kupeleka vifaa hivyo ili kuharakisha husuma kwa wananchi," alisema  Kabeho.

Serikali  baada ya kukamilisha ujenzi wa majengo matano ya kituo cha afya Kagunga wilayani sengerema mkoani mwanza ikiwemo jengo la upasuaji,wodi ya wazazi na maabara,majengo  hayo yanategemea kukuanza kuta huduma kwa wananchi wa maeneo hayo lakini bado huduma hazijaanza.

Hali  hiyo imebainika wakati wa mbio za mwenge wa uhuru na hivyo kumlazimu kiongozi wa mbio huyo kutoa rai kwa bohari kuu ya dawa nchini.

Kiongozi huyo pia ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa katika shule ya msingi Nkumba wilayani Sengerema na kuitaka jamii kuchangia maendeleo ya elimu ili kutatua changamoto zilizopo.


Katika kijiji cha Nyamasale zaidi ya wananchi elfu mbili wa kijiji hicho wameondokana na tatizo la maji baada ya mwenge wa uhuru kuzindua kisima kirefu cha maji kilichogharimu shilingi millioni 26.


Aidha, Mwenge wa uhuru ukiwa wilayani Sengerema umezindua,kukagua na kuweka mawe ya msingi kwenye miradi mitano ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi billioni moja,miongoni mwa miradi hiyo ni ujenzi wa barabara ya bomani yenye urefu wa kilometa 0.4  kwa kiwango cha lami.pamoja na ghala la kuhifadhia mazao katika kijiji cha Isole  limegharimu millioni 365.


Aidha,amezindua ghala la kuhifadhia mazao katika kijiji  cha  Isole lenye gharama ya Shilingi Milioni 365.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.