• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MTANDA AWATAKA WANUFAIKA TASAF KUWEKA MALENGO KUPITIA FEDHA WANAZOPOKEA

Posted on: February 20th, 2025

RC MTANDA AWATAKA WANUFAIKA TASAF KUWEKA MALENGO KUPITIA FEDHA WANAZOPOKEA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka wanufaika wanaopokea fedha za Mradi wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF) kuweka malengo kupitia fedha wanazopata ili waweze kujikwamua na umaskini ambapo ndio lengo la msingi la mradi huo.

Mhe. Mtanda ametoa rai hiyo leo Februari 20, 2025 alipokuwa akizungumza na wanufaika wa mradi huo katika Kijiji cha Shigumulo Kata ya Mwang’halanga Wilayani Kwimba ambapo amewata wanufaika hao kujiwekea malengo ili waweze kuhitimu umaskini.

“Msaada huu ipo siku utakoma, ni lazima uwe na mipango, anzisha hata mradi wa kuku ambao utakusaidia kusomesha watoto, kuendesha familia na mwisho wa siku uweze kuhitimu kutoka kwenye mradi huu”.

Aidha Mkuu wa Mkoa amewapongeza Wanufaika hao ambao kundi kubwa alilokuatana nalo ni Wanawake na kuwataka kuwekeza katika kufanya kazi kwa bidii hata kupitia miradi ambayo TASAF imekuwa ikiibua ikilenga kuwawezesha Wanufaika hao pia kama vile ujenzi wa barabara, uchimbaji wa visima, mabweni au madaraja.

“Mtumie miradi hii kujikwamua na mbadilishe maisha yenu, fedha mnazozipata msiende kuzinywea pombe maana mradi utakwisha na wewe utakuwa umekwisha”.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Ngw’ilabuzu Ludigija amewataka Wanufaika hao kuchukua wosia wa Mkuu wa Mkoa kwa kuwa aliyoyaeleza yote yana uhalisia na hawana budi kuyafuata.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.