• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MWANZA YAPOKEA MWENGE WA UHURU, KUKIMBIZWA KWENYE MIRADI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILIONI 21

Posted on: July 13th, 2023

MWANZA YAPOKEA MWENGE WA UHURU, KUKIMBIZWA KWENYE MIRADI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILIONI 21


Leo Julai 13, 2023 Mkoa wa Mwanza umepokea Mwenge wa Uhuru kwenye Kijiji cha Muluseni wilayani Ukerewe ukitokea Mkoani Mara ambapo unatarajiwa kukimbizwa kwa takribani Siku 8 kwa umbali wa Kilomita 813.4 nchi kavu na majini.

Akipokea Mwenge huo, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla amesema ukiwa Mkoani humo unatarajiwa  ambapo ukiwa Mkoani humo unatarajiwa kukimbizwa kwenye miradi 51 yenye thamani ya zaidi ya Bilioni 21.

Mhe. Makalla amesema Mwenge wa Uhuru Mkoani humo unatarajiwa kuweka Mawe ya Msingi kwenye miradi 17 yenye zaidi ya Bilioni 13.7, kufungua 9 ya zaidi ya Bilioni 3.5, kuzindua 15 kwa Bilioni 3.1 huku ukitarajiwa kutembelea miradi 10 iliyogharimu Milioni 609.2.

CPA. Makalla ameongeza kuwa, kwa mwaka 2022 Mwenge wa Uhuru Mkoani Mwanza ulitembelea jumla ya Miradi 52 yenye thamani ya Bilioni 18.7 na kwamba kwa mwaka 2023 Mwenge huo utatembelea Miradi 05 iliyowekewa mawe ya Msingi mwaka jana kwa ajili ya kuifungua.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Ndugu Abdalla Shaib Kaim ameomba ushirikiano kwa Mkoa wa Mwanza hususani usahihi wa taarifa za miradi na nyaraka ili kufanikisha mbio za Mwenge huo kwa mwaka 2023.

Wakati huohuo, Mhe. Mkuu wa Mkoa amemkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Hassan Bomboko kwa ajili ya kuukimbiza kwenye miradi 6 ya wilaya hiyo kwa siku ya kwanza ya tarehe 13, Julai, 2023.

  1. Kaulimbiu ya Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 inasema "Tunza Mazingira, Okoa vyanzo vya Maji kwa Ustawi wa viumbe hai kwa Uchumi wa Taifa."

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.