• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

NAIBU WAZIRI PINDA KUZINDUA KLINIKI YA ARDHI MWANZA

Posted on: March 11th, 2024

NAIBU WAZIRI PINDA KUZINDUA KLINIKI YA ARDHI MWANZA


*RC Makalla amkabidhi kitabu cha ushughulikiaji kero alioufanya katika kila Wilaya*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla leo Machi 11, 2024 amempokea Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi Mhe. Geofrey Pinda ambaye mchana wa leo atazindua Kliniki ya Ardhi kwenye Viwanja vya Nyamagana Jijini Mwanza itakayodumu kwa juma moja kusikiliza na kutatua kero za wananchi.

Akizungumza kwenye kikao kifupi kilichofanyika Ofisini Kwake Mkuu wa Mkoa ameipongeza Wizara ya Ardhi kwa kuamua kusikiliza wananchi hususani kwenye majiji na akabainisha kuwa Ofisi yake inaendelea na zoezi la usikilizaji kero za wananchi katika kila wilaya.

Makalla amesema katika kipindi cha mwezi Septemba na Novemba mwaka 2023 amefanya ziara katika kila wilaya Mkoani humo ambapo amewasikiliza zaidi ya wananchi 900 na kwamba asilimia 80 ya kero zilizowasilishwa kupitia mikutano yake ya hadhara zilikua ni za sekta ya ardhi hususani uwepo wa hati kinzani na madai ya fidia.

Katika kufafanua hilo Mhe. Makalla amemkabidhi Naibu waziri huyo kitabu cha kero na utatuzi wake kilichojumuisha wilaya zote ambapo ametoa wito kwa wizara kukitumua katika kufanya maamuzi yanayohusu migogo ya ardhi ambayo utatuzi ulishafanya ili kuwa na uelewa wa pamoja.

Naibu waziri Pinda ametumia wasaa huo kuipongeza Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa kazi nzuri ya kusikiliza kero za wananchi na amemhakikishia ushirikiano na wizara yake katika kuwatumikia wananchi hususani ushughulikiaji wa haki wa kero za ardhi uliokithiri zaidi kwenye majiji.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.