• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

PAZIA LA MAONESHO YA NANENANE LAFUNGULIWA RASMI KANDA YA ZIWA

Posted on: August 3rd, 2025

Mkuu wa wilaya ya Geita Mhe. Hashimu Komba amewataka wananchi wa mikoa ya kanda ya ziwa kujitokeza kwa wingi kwa lengo la kujifunza na kupata mbinu mbalimbali za kilimo, ufungaji, uvuvi na biashara katika mabanda ya maonesho ndani ya kipindi cha nane nane.

Ameyasema hayo leo agosti 3, 2025 alipokuwa akizindua na kufungua rasmi maonesho ya Saba ya nane nane kanda ya ziwa magharibi 2025 kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa huo yanayofanyika katika Viwanja vya Nyamhongolo Ilemela-Mwanza.



Aidha, amewataka viongozi kuwa wabunifu kwa wananchi ili kuwasaidia katika kujikimu na kumudu maisha ya kila siku kwa kuwafundisha mbinu za kisasa za kisekta zinazosaidia kuongeza uzalishaj.

“Kiongozi bora ni yule aliye tayari kuja na ujuzi na ubunifu mkubwa kwa jamii ili kuweza kuleta mabadiliko chanya kwa jamii na maendeleo ya kutosha katika maeneo yake”. Amebainisha Komba.


Sambamba na hilo, ameeleza namna taifa linajengwa kwa kutegemea sekta ya kilimo na uvivu ndani ya mikoa ya kanda ya ziwa huku akibainishia kuwa zaidi ya asilimia 75 ya wananchi wanategemea kilimo, hivyo amesisitiza umuhimu wa Maonesho hayo kwa maana huwasaidia wananchi kujifunza kutokana na kuwepo kwa teknolojia zinazoleta tija.

“Wakazi wengi wa mwanza wanaishi kijiji na asilimia zaidi ya 75 wanachangia pato la taifa, wavuvi pekee wanachangia asilimia 7, mazao makuu ya biashara yamezidi kuongezeka ambayo ni pamba zao la kimkakati, migomba, mpunga na mahindi." Amesema.


Naye, Mkuu wa idara ya Uchumi na Uzalishaji Mkoa wa Mwanza Ndg. Peter Kasele amesema ongezeko la wananchi katika maonesho hayo mwaka hadi mwaka ni ishara kuwa wananchi wa kanda ya ziwa magharibi wanahamasika kuhusu kufanya shughuli za kilimo, mifugo na uvuvi kwa kuzingatia kanuni Bora na matumizii Sahihi ya teknolojia ya kisasa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • PAZIA LA MAONESHO YA NANENANE LAFUNGULIWA RASMI KANDA YA ZIWA

    August 03, 2025
  • WAKULIMA WAASWA KUTUMIA TEKNOLOJIA KUFANYA KILIMO CHA KISASA

    August 02, 2025
  • RMO MWANZA AONGOZA ZIARA YA MAFUNZO YA USAFI NA MAZINGIRA MKOANI IRINGA

    July 21, 2025
  • RAS BALANDYA ATOA MAAGIZO UTEKELEZAJI WA MIRADI SENGEREMA

    July 30, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.