• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

PROF. NAGU AHITIMISHA MKUTANO WA MWAKA WA TATHIMINI NA UTEKELEZAJI WA HUDUMA ZA AFYA

Posted on: July 5th, 2025

Naibu Katibu mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI (Afya) Prof. Tumaini Nagu amehitimisha rasmi mafunzo ya mwaka wa tathimini na Utekelezaji wa huduma za Afya na usafi wa mazingira katika Mikoa na Halmashauri Mkoani Mwanza.

Mafunzo hayo yaliyoanza julai 2 yamehitimiswa Leo julai 5, 2025 katika ukumbi wa rock city mall ambapo mafunzo hayo yenye Lengo la kutoa fursa, kutathimini hali ya afya katika mikoa na kuweza kubainisha maeneo yaliyofanya vizuri, maeneo yenye changamoto na sehemu zinazohitaji ubunifu.


Aidha, Pro. Nagu amewataka washiriki wote kutumia mafunzo hayo kuitendea haki kwa kutoa taarifa kamili na Sahihi kwa jamii Ili kuweza kupunguza magonjwa ya mlipuko, huku akiwataka kuwa kipaumbele kusemea maeneo yenye changamoto ili yaweze kupatiwa ufumbuzi mapema.

“ Mafunzo haya ya siku nne naimani tutayatumia vizuri, tuendelee kuhimizana kutoa taarifa kwa wakati Ili kudhibiti magonjwa ya mlipuko yasiendelee”. Amesema Nagu.


Hata hivyo, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba ametumia jukwaa hilo kuomba waganga wakuu wengine pia kushiriki katika vikao vingine vijavyo kwa lengo la kushirikana na maafisa hao, huku akiwataka kwenda kusambaza kile walichojifunza kwa maana afua tiba ni muhimu Ili kuweza kutatua changamoto mbalimbali zinazokabili jamii.

“Naaminii tukiendelea kufanya kazi kwa pamoja tutatoka wote katika afua za Afya na usafi wa mazingira”. Ameeleza Dkt. Jesca.


Kwa upande wake, Mratibu Mkuu wa mkutano wa mwaka wa tathimini ya utekelezaji wa huduma za afya na usafi wa mazingira katika mikoa na halmashauri Ndg. Seleman Yundo amewasihi washiriki kufuata sheria na taratibuu za wizara, na kuzingatia miiko na taratibuu zote za kazi kwa maslahi mapana ya jamii na Nchi kwa ujumla.


Mkutano huo mwenye lengo la kuwapa elimu na ujuzi maafisa Afya hao wa mikoa na halmashauri ulikuwa na kauli  mbiu ya “utekelezaji wa afua za Afya na usafi wa mazingira NI msingi wa kinga endelevu dhidi ya magonjwa na Ustawi wa Jamii”.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • PROF. NAGU AHITIMISHA MKUTANO WA MWAKA WA TATHIMINI NA UTEKELEZAJI WA HUDUMA ZA AFYA

    July 05, 2025
  • PROF. NAGU AWAPONGEZA MWANZA KWA KUWEKA MIFUMO, ATAKA ITUMIKE KUBORESHA HUDUMA

    July 05, 2025
  • JAMII YATAKIWA KUJIUNGA NA MFUKO WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    July 04, 2025
  • DKT. JINGU AWATAKA MAAFISA MAENDELEO KUCHANGAMKIA FURSA 30% YA MAKUNDI MAALUM

    July 03, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.