• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS BALANDYA AHIMIZA ULIMAJI WA KISASA WA PAMBA UWAFIKIE WAKULIMA WENGI NCHINI

Posted on: July 5th, 2024

RAS BALANDYA AHIMIZA  ULIMAJI WA KISASA WA PAMBA UWAFIKIE WAKULIMA WENGI NCHINI


Taasisi ya Utafiti wa kilimo nchini TARI na Bodi ya Pamba zimetakiwa kufanya juhudi ili utaalamu wa ulimaji wa zao la Pamba uwafikie wakulima wengi nchini tofauti na ilivyo sasa.

Akizungumza leo Julai 05, 2024 wakati wa kufunga mkutano wa Kimataifa wa kujadili utekelezaji wa mradi wa Cotton Victoria kwa upande wa Tanzania, Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza, Balandya Elikana amebainisha pamoja na mradi huo unaofadhiliwa na Taasisi ya Maendeleo ya ABC kutoka nchini Brazil kuonesha tija kwa wakulima lakini bado idadi kubwa haijafikiwa.

"Tuna wakulima wa Pamba hapa nchini laki sita lakini waliofikiwa na utaalamu wa ulimaji wa kisasa ni laki mbili na kumi tu, hivyo ni dhahiri bado kuna jitihada za ziada zinatakiwa kufanyika", amesisitiza Mtendaji huyo wa Mkoa wakati akitoa hotuba ya ufungaji.

Balandya amewapongeza wafadhili wa mradi huo ambao umekuwa na tija kwa wakulima kutoka kulima kwa upandaji wa awali wa sentimita 90 kwa 40 na kutoa mimea 22,222 na sasa ulimaji wa sentimita 60 kwa 30 na kutoa mimea 44,444.

"Mradi huu pia umewajengea uwezo wataalamu wetu wa kilimo wakiwemo Maafisa Ugani, TARI na Bodi ya Pamba huku wakulima wa Pamba wapatao 6522 kutoka Mwanza wakifaidika na utaalamu huo", Marco Mutunga, Mkurugenzi wa Bodi ya Pamba.

Mradi wa Cotton Victoria unatekelezwa katika nchi za Tanzania,Kenya na Burundi na unamalizika mwakani.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI MWANZA

    May 10, 2025
  • SERIKALI KUNUNUA MTAMBO RASMI WA KUSAFISHA ZIWA VICTORIA

    May 10, 2025
  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.