• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS Mwanza aendelea kuhimiza matumizi sahihi ya Dawa na Vifaa Tiba Hospitali na Vituo vya Afya Mkoani Mwanza.

Posted on: May 27th, 2022

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ngusa Samike ameendelea na ziara ya ukaguzi wa Dawa na Vifaa Tiba Sekta ya Afya,akiwa Wilayani Magu amehimiza Hospitali na Vituo vya Afya kuzingatia matumizi sahihi ya dawa ili kuiepusha Serikali hasara ya dawa hizo kuchina.


Akizungumza na watumishi wa Hospitali ya Magu,Katibu Tawala Ngusa amesema ni lazima kuwepo na taarifa sahihi wakati wa kuagiza.


dawa au kutambua mapema ni kituo gani cha Afya kina upungufu na kufanya uamuzi sahihi.

"Nawakumbusheni tena maana ziara zangu nahimiza hili jambo tangulizeni uwajibikaji bora na siyo mkae tu ofisini na kuletewa taarifa hapo mtaharibu kazi"

Aidha ameipongeza Hospitali ya Wilaya ya Magu kwa kuweka takwimu sahihi na kuwafuatilia tiba zao Waathirika wa VVU hali ambayo amesema inasaidia kupunguza maambukizi.


Kuhusu tatizo la Fistula Ngusa ameitaka jamii kutowanyanyapaa watu wenye hali hiyo na badala yake kuhimizana kwenda kupata huduma Hospitali kwani tatizo hilo linatibika

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dktr Thomas Rutachunzibwa amesema marafiki wa Maendeleo kama Asasi isiyo ya Kiserikali ya AMREF wamekuwa wakisaidia kutoa elimu na gharama za matibabu ya magonjwa mbalimbali maeneo ya Vijijini.


Katika ziara hiyo Wilayani Magu,Katibu Tawala Ngusa pia amevitaka Vituo vyote vya Afya vilivyokamilika ujenzi kwa asilimia 80 vianze kutoa huduma kwa Wananchi.

Wilaya ya Magu ina jumla ya Vituo 51 vya afya  vikiwemo 44 vya Serikali,taasisi za kidini na watu binafsi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI MWANZA

    May 10, 2025
  • SERIKALI KUNUNUA MTAMBO RASMI WA KUSAFISHA ZIWA VICTORIA

    May 10, 2025
  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.