• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS Mwanza afanya ziara Wilayani Kwimba ahimiza Hospitali na Vituo vya Afya vipya kuanza kazi haraka.

Posted on: May 9th, 2022

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ngusa Samike amezitaka Halmashauri zote Mkoani humo kukamilisha Miradi yote ya Vituo vya Afya na mfumo wa upokeaji na ugawaji wa dawa uwe sahihi.


Katibu Tawala huyo akiwa Wilayani Kwimba  katika ukaguzi wa Miradi hiyo amesema amejionea Vituo vya Afya vikiwa vimekamilika lakini huduma bado wakati Wananchi wanatembea umbali mrefu kutafuta huduma hiyo.


"Mfumo wa upokeaji na kutoa dawa nao nimeona una tatizo nimeingia Stoo za utunzaji napo nimegundua watu wanafanya kazi kimazoea tu hii siyo sahihi" amesisitiza Ngusa Samike.


Amewataka Viongozi wa Halmashauri Kaimu Mkurugenzi Dennis Kabogo na Mganga Mkuu wa Wilaya,Elias Misana kumpa taarifa ya Maendeleo kila wiki ili aone hatua za mabadiliko waliyofanya.


Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Thomas Rutachunzibwa amesema msongamano wa Wananchi Hospitali za mijini sasa umepata ufumbuzi kutokana na huduma hiyo kuwasogelea Wananchi kutokana na Wilaya zote za Mkoa wa Mwanza kuwa na Vituo vingi vya Afya.


Naye Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kwimba,Elias Misana amesema changamoto zote zilizobainika katika ziara ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza wanazifanyia kazi hasa eneo la mfumo wa dawa.


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ngusa Samike anafanya ziara Wilaya zote za Mkoa huo akikagua Miradi ya Maendeleo Sekta ya Afya pamoja na Huduma zitolewazo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. May 30, 2023
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2023 May 30, 2023
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA ATOA SIKU 42 KWA MKANDARASI KUKAMILISHA UJENZI WA AWAMU YA KWANZA YA JENGO LA HALMASHAURI KWIMBA.

    November 28, 2023
  • WANANCHI WA HUNGUMALWA KWIMBA WAPATA MRADI MKUBWA WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 10

    November 28, 2023
  • RC MAKALLA AZINDUA MIUNDOMBINU YA KIDATO CHA TANO MWAMASHIMBA SEKONDARI, KUSAIDIA KUONDOA MSONGAMANO DARASANI NA BWENINI

    November 28, 2023
  • RAS Balandya aishauri Tume ya Maendeleo ya Ushirika kusimama imara kuviimarisha vyama

    November 27, 2023
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 33180, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.