• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS Mwanza afunga Wiki ya Huduma za Maabara kwa kuwataka Vijana kuchangamkia Masomo ya Sayansi.

Posted on: May 6th, 2022

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza,Ngusa Samike amefunga wiki ya Huduma za Maabara Mkoani humo kwa kutoa wito kwa vijana kusomea masomo ya Sayansi  ili waweze kupata fursa ya kujiajiri na kuajiriwa.


Katibu Tawala huyo amesema mkazo na mazingira mazuri yawekwe Shuleni Vijana wachangamkie masomo hayo kwani bado Taifa linawahitaji aina hii ya Wataalamu wa Huduma za Maabara.


"Kumekuwa na kasumba ya kuamini masomo ya Sayansi ni magumu la hasha! hebu tuanze kubadilika" amesisitiza Katibu Tawala Samike



Aidha amesema taarifa aliyopata ya Wananchi waliojitokeza ni zaidi ya watu elfu mbili  waliopata huduma mbalimbali inaridhisha na kuwapa ari wao kama Serikali kujipanga zaidi mwakani.


Amewahimiza Wananchi kuendelea kuona umuhimu wa kupata huduma za kiuchunguzi kabla ya kutumia dawa ili kupata usahihi wa kile wanachotakiwa kutibiwa.


Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Esther Maliki amesema Wiki ya Huduma za Maabara imekuwa na faida kwa Wananchi kwani wamepata huduma za kiuchunguzi na ushauri, pia chanjo ya Maradhi mbalimbali ikiwemo Uviko 19 na homa ya Ini.


Aidha Mwenyekiti wa Chama cha Wanasayansi wa Maabara za Afya Tanzania,Betrand Msemwa amesema upande wa Maradhi yasiyoambukiza kama Kisukari jumla ya Wananchi 238 wamejitokeza na 15 waligundulika na tatizo hilo wakati uchangiaji wa Damu salama waliojitokeza ni watu 64.


Wiki ya Huduma za Maabara huadhimishwa kila mwaka mwishoni mwa Aprili ambapo Mkoa wa Mwanza

ulianza Maadhimisho hayo Mei 2 mwaka huu yakifunguliwa na Mkuu wa Mkoa huo Mhe.Mhandisi Robert Gabriel.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 05, 2021
  • Tangazo kuhusu uhamisho wa ndani na nje ya Mkoa wa Mwanza. January 05, 2021
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MKOA WA MWANZA MWAKA 2021 February 05, 2021
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali Mkoa wa Mwanza December 13, 2017
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC Mwanza azindua msimu wa manunuzi zao la Pamba 2022/2023,atangaza bei elekezi Shilingi 1560

    May 20, 2022
  • RAS Mwanza afanya ukaguzi Sekta ya Afya Wilayani Ukerewe,ahimiza umakini kazini

    May 18, 2022
  • RC-MWANZA Azindua Chanjo ya Matone ya Polio Ukerewe

    May 18, 2022
  • Mkuu wa Mkoa Mwanza azikumbusha Familia kuzingatia wajibu wa Malezi kwa watoto

    May 15, 2022
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Regional Drive Mkabala na Ofisi za TRA

    S.L.P: S.L.P. 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.