• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS Mwanza atoa rai kwa Wahandisi kusimamia Ubora wa Miradi

Posted on: August 22nd, 2023

RAS Mwanza atoa rai kwa Wahandisi kusimamia Ubora wa Miradi


Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ndugu Daniel Machunda amewasihi Wahandisi kusimamia taaluma yao vema na  kutekeleza miradi katika ubora unaokusudiwa.

Ametoa wito huo leo Agosti 22, 2023 kwenye Kikao kazi cha Wahandisi, Maafisa Elimu na Waganga Wakuu wa Wilaya kilichoketi kwenye Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa ajili ya kufanya tathmini ya changamoto zinazowakabili kwenye utekelezaji wa miradi.

Machunda amesema serikali inatoa fedha nyingi kwa ajili ya kujenga Miundombinu na kuwaboreshea wananchi huduma hivyo ni wajibu wa wataalamu kusimamia ubora na thamani ya fedha kwenye utekelezaji.

"Twendeni tukajenge miradi iliyo bora, ni lazima tujenge Imani kwa wananchi kwamba serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia ipo kwa ajili ya kuwapa huduma bora sio tunajenga mradi mwaka huu alafu baada ya miaka michache mradi unaharibika." Machunda amefafanua.

Naye Katibu Tawala Msaidizi Seksheni ya Miundombinu, Mbunifu Majengo Chagu Nghoma amefafanua kuwa kikao kazi hicho kimelenga kufanya tathmini ya miradi iliyotekelezwa kwenye mwaka 2022/23 ambapo wameziangazia changamoto walizopitia na kwa pamoja wamebaini namna bora ya kutekeleza kwa siku za usoni.

Aidha, amebainisha kuwa kwa pamoja wamekubaliana kutekeleza miradi kwa ushirikiano ili kuhakikisha Wahandisi na idara watumiaji wanakuwa sehemu ya utekelezaji na kuitunza miradi kwa faida ya vizazi vya sasa na miaka ya baadae.

Vilevile, mbunifu majengo Nghoma amefafanua kuwa kwenye kikao kazi hicho wameihusisha Ofisi ya TAKUKURU ambayo imetoa wito kwa wataalamu hao kuwa wazalendo kwa kuzingatia kunakua na thamani ya fedha iliyokusudiwa kwenye miradi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.