• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS Mwanza awataka Vijana kujitambua na Elimu ya Afya.

Posted on: June 8th, 2022

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ngusa Samike amewataka Vijana kujitambua wao ni nguvu kazi ya Taifa hivyo wasikubali kuyumbishwa na mabadiliko ya ki-Dunia ambayo baadhi yao wamejikuta yakiwagharimu maisha yao.


Katibu Tawala Ngusa amesema hayo wakati wa Mdahalo Maalum uliohusu Ukatili wa Kijinsia uliofanyika Chuo Kikuu cha Mt.Agustino Mkoani Mwanza,amesema rika la Vijana wengi kuanzia miaka 18 hadi 25 wamekumbwa na majanga ya kila aina kuanzia utumiaji wa Dawa za kulevya na Ngono isiyo salama  ambavyo kwa pamoja vimewapotezea ndoto zao za kimaisha.


"Huku vyuoni mambo mengi yasiyo na tija kwenu yanafanyika baadhi yenu mnaishi kama mke na mume,upigaji wa picha za utupu wengine kujiua,haya yote ni lazima mpambane kuyatokomeza kama mna nia njema na maisha yenu"


Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha SAUT, Prof Hosea Rwegoshora amebainisha kinacho wagharimu Vijana wengi ni tamaa ya kulazimisha kufanikiwa ki-maisha bila kujali wanatumia njia gani sahihi.


Afisa Ustawi wa Jamii Mkoani Mwanza, Faith Lukindo amesema mkazo wa elimu hauna budi kuwekwa kwa Vijana kuanzia ngazi za Shule kutokana na kundi hili kuwa katika hatari zaidi na kasi ya mabadiliko ya ki-dunia.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Asasi isiyo ya Kiserikali ya Wadada, Lucy John amesema kwa kutambua umuhimu wa Vijana katika ujenzi wa Taifa wameamua kuwajengea msingi mzuri wa elimu ya Afya ambayo itawasaidia kupambanua baya na zuri.


Baadhi ya watoa Mada alikuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ngusa Samike,Mratibu wa Dawati la Jinsia kutoka Polisi,Faraja Mkinga, Mratibu wa Afya ya Uzazi Mwanza, Bertha Mkinga, Afisa Ustawi wa Jamii Mkoa Faith Lukindo, pamoja na Mhadhiri msaidizi kutoka SAUT, Fides Zakayo.

Mdahalo huo umewashirikisha wanafunzi kutoka baadhi ya Vyuo vilivyopo Mkoani Mwanza na Makundi mengine ya Vijana.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.