• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC Makalla agawa Pikipiki 46 kwa Maafisa Ugani-Mifugo kutoka Halmashauri 8 za Mwanza

Posted on: December 14th, 2023

RC Makalla agawa Pikipiki 46 kwa Maafisa Ugani-Mifugo kutoka Halmashauri 8 za Mwanza


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla leo amegawa Pikipiki 46 kwa Maafisa Ugani-Mifugo kutoka Halmashauri 8 za mkoa huo na kuwataka kwenda kuzitumia kwa makusudi yaiiyolengwa na siyo vinginevyo nevyo.

Akizungumza kwa niaba yake kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakati wa hafla fupi ya makabudhiano hayo, Mkuu wa Wilaya ya Misungwi,Mhe. Paul Chacha amebainisha Serikali inaendelea kuiboresha sekta ya Mifugo kwa kuweka mazingira rafiki kwa Maafisa hao, hivyo nao ni wajibu wao kuhakikisha wanakuwa chachu ya mageuzi chanya kwenye sekta hiyo.

"Hizi Pilipiki siyo muende kuzigeuza bodaboda na kujipatia kipato hapo mtakuwa mnakosea na hatua za kinidhamu zitachukuliwa, nendeni muwafuate wakulima walipo na mkstoe elimu ya kutosha," Mhe.Chacha

Amewataka pia Wakurugenzi wote wa Halmashauri kuhakikisha wanawapatia mafuta ya kutosha ili wasikwame katika shughuli zao za kila siku.

Kwa upande wake Katibu Tawala msaidizi uchumi na Uzalishaji,Emil Kasagara amesema Plkipiki hizo zimekuja wakati mwafaka kutokana na kuwepo na mradi wa kunenepesha ng'ombe na kituo atamizi kwenye shamba la Taifa la mifugo Mabuki.

"Mhe.Mkuu wa Wilaya hapo Mabuki Serikali imepeleka ng'ombe 500 kwa ajira ya mradi wa unenepeshaji na kuna vijana 90 wanapata mafunzo hayo,hivyo maafisa Ugani hawa wamerahisishiwa kazi ya kwenda kusaidia kutoa elimu,"

"Tunaishukuru Serikali ya Rais Samia kwa kutuwezesha nyenzo hizi,siku za nyuma tulipata wakati mgumu katika kutimiza majukumu yetu",Arsen Mwenda,Afisa Ugani-Mifugo Kwimba.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA: UZINDUZI MV MPUNGU NI ISHARA YA MAENDELEO SEKTA YA USAFIRISHAJI MAJINI

    May 21, 2025
  • MSINGI WA MALEZI BORA KWA MTOTO UNAJENGA TAIFA IMARA: RC MTANDA

    May 21, 2025
  • OFISI YA MKUU WA MKOA WA MWANZA YATOA SALAMU ZA PONGEZI KWA PROF.JANABI

    May 20, 2025
  • LENGO LA HOSPITALI ZA WILAYA NI KILA MWANANCHI APATE HUDUMA MAHALI ALIPO - WAZIRI MKUU

    May 19, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.