• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MAKALLA ATOA SIKU 14 IDARA YA ARDHI KUMALIZA MGOGORO ENEO LA Z.E.K LADHANI

Posted on: November 14th, 2023

RC MAKALLA ATOA SIKU 14 IDARA YA ARDHI KUMALIZA MGOGORO ENEO LA Z.E.K LADHANI


*Awataka watendaji kumpa haki yake mmiliki huyo halali tangia Mwaka 1986*


*Makalla Atinga kwenye eneo husika, athibitisha  Maelezo mengi yalikuwa ya uongo*


*Awataka idara ya ardhi Jiji la Mwanza kumpa eneo lake halali au fidia kama wanalihitaji*


*Awataka Jiji hilo kumpa ushirikiano mmiliki na kumwonesha mipaka yake halali*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.CPA Amos Makalla amewaagiza Idara ya Ardhi Jiji la Mwanza kumpa haki yake Mmiliki wa Kiwanja namba 1 Kitalu R Mjini Kati ndani ya Siku 14 kwani mgogoro uliopo unatokana na watendaji wa Idara hiyo kutokuwa na weledi.


CPA Makalla amesema hayo mapema leo Novemba 14, 2023 wakati wa kikao chake na kamati ya ardhi ya kushughulikia migogoro uliowakutanisha na wamiliki wa eneo hilo baada ya kufika  na kujionea kwa macho uhalisia na kubaini kuwa kuna uzembe upande wa idara hiyo hadi kuibuka kwa mgogoro huo.

Makalla amesema mpango wa maendeleo ya Makazi wa Mwaka 1967 unaonesha wazi kuwa eneo hilo la kiwanja Namba 1, Kitalu R lilimilikishwa kwa Z.E.K Ladhani na si vinginevyo kama anavyosumbuliwa kuendeleza eneo lake kwa sababu zisizo na msingi.

Akitoa majumuisho yake, Mhe. Makalla amewataka Idara ya ardhi kuhakikisha wanamwonesha mipaka yake au wanampa barua ya kumfidia kama Jiji hilo wanalihitaji eneo lake kwa matumizi mengine au wamtake mmiliki wa kiwanja namba mbili wamtake alinunue eneo hilo endapo analihitaji.


Mwakilishi wa upande wa Walalamikaji ametumia wasaa huo Kumshukuru Mkuu wa Mkoa na akatoa pendekezo la kurahisisha mgogoro kuwa TANESCO na TARURA wana nafasi ya kusaidia kwani kuna miundombinu yao kwenye eneo linalolalamikiwa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MWANZA, SIMIYU ZANG'ARA UTAMILIFU DARASA LA SABA KANDA YA ZIWA

    May 30, 2025
  • RAS MWANZA AZINDUA RASMI MRADI WA KUPAMBANA NA UGONJWA WA SELI MUNDU

    May 30, 2025
  • WAANDISHI WA HABARI MWANZA WAPIGWA MSASA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA WATOTO WA MITAANI

    May 29, 2025
  • RAS MWANZA AWATAKA VIONGOZI WA UMMA KUDUMISHA NIDHAMU NA UFANISI KAZINI

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.