• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC Malima atoa Rai kwa Vijana kuwa na kanzidata

Posted on: January 14th, 2023


Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Adam Malima akiwa ziarani Wilayani Sengerema ameitembelea Kambi ya Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokutana kwa siku tatu katika Chuo cha Maendeleo ya Wananchi wakipeana mafunzo ya Itifaki na uzalendo.

Mhe. Malima ametoa wito kwa vijana hao pamoja na mambo mengine kuwa na kanzidata ili iwepo takwimu sahihi ya wanachama huku akibanisha kuwa mikakati ya kutimiza dira ya uhakika wa kupata Ushindi kwenye Uchaguzi Mkuu na chaguzi zingine itatokana na kuwa na takwimu sahihi za wananchama katika kila kundi.

"Uimara wa Chama Cha Mapinduzi haujaja hivi hivi, ni maandalizi mazuri ya waasisi na viongozi kwa vijana katika kuwajengea Misingi ya kulitumikia Taifa lao kizalendo na ndio maana kijana wa hiki popote utapomkuta utambaini kwa nidhamu yake kubwa katika kukisemea chama chake." Mhe. Malima amesisitiza.

Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Sengerema Ndg. Makoe Augustino ametoa wito kwa vijana hao kushirikiana na serikali na Chama Cha Mapinduzi katika kuwaletea wananchi maendeleo lakini pia waendelee kujibidiisha kwenye masomo na kuwa wazalendo kwa Taifa lao.

Mwenyekiti wa Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa Mwanza Ndg Chrisrian Kimaro ambaye ni mwanafunzi wa Chuo cha Bugando ametumia wasaa huo kumpongeza Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutekeleza Ilani kwa ufanisi mkubwa huku akitolea mfano  miradi ya kimkakati kama daraja la Kigongo Busisi ambalo litakapokamilika litachochea uchumi wa kanda ya ziwa.

Vilevile, amempongeza Mwenyekiti Taifa kwa kuisimamia vema Serikali ya awamu ya Sita hasa kwa upande wao kwani pamoja na uboreshaji wa mambo mengine, fedha za Mikopo zimetolewa kwa wanafunzi kwa ufanisi kwani siku za karibuni wameweza kupokea hadi duru la nane jambo ambalo ni tofauti na miaka mingine ambapo kwa wakati huu ingetoka duru la sita.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.