• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC Mongella azindua uuzaji wa Matrekta kutoka NDC

Posted on: August 16th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella amewataka viongozi wa vyama vya Msingi vya Ushirika (AMCCOS) kuimarisha ushirika na kudhibiti dalili zote za ufisadi.

Mhe.Mongella ameyasema hayo wakati wa  uzinduzi wa mauzo ya trekta kutoka Shirika la  Maendeleo ya Taifa (NDC)  mkoani hapa.


"Jambo la msingi ni kuziba mianya yote na kutorejea nyuma kwa kuwa kilichomaliza ushirika huko nyuma ni ufisadi,"alisema Mongella.

Aidha alisiaitiza kuwa  ili kukuza uchumi wa wanachama na kubadilisha maisha ya wananchi ni vyema wakishirikiana  kwenda kwenye kilimo cha biashara chenye tija na kuondokana na kilimo cha jembe la mkono kwani asilimia 80 ya wakazi wa Mwanza  wanajihusisha na kilimo.

"Hii kazi ya kuuza matrekta tutaifanya Lakini maofisa wenu na wa benki ya maendeleo ya kilimo Tanzania wachangamke kufikia September 1 mwaka huu lazima hizi trekta 27 zilizopo ziwe zimeondoka," alisema Mongella.

Naye Mwenyekiti wa bodi ya Shirika la taifa la maendeleo  Dkt. Samuel Nyantahe alisema mradi huo wa kiwanda cha kuunganisha matrekta unatokana na ushirikiano wa kiuchumi baina ya Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamuhuri ya Poland mkataba huo ulisaniwa septemba 28 mwaka 2015.

"Serikali ya Poland ilitoa mkopo nafuu wa dola za marekani milioni 110 kwa riba ya asilimia 0.3 kwa mwaka ambapo mkopo huo utatumika kwa asilimia 100 kugharamia ununuzi wa vifaa na huduma kutoka Poland kuja Tanzania, " alisema Dkt.Nyantahe.

Aidha Dkt.Nyantahe amesisitiza kuwa  lengo la mkopo huo ni kuboresha kilimo nchini kinachoendana na uchumi wa viwanda, hadi sasa matrekta 779, kati ya  2,400 yameshaingizwa kutoka Poland ambapo matrekta 432 yameshaunganishwa.

Naye Ofisa mwandamizi msimamizi wa mradi na Tathimini kanda ya ziwa Stephen Kang'ombe alisema  lengo lao ni kuwatoa wananchi katika kilimo cha kujikimu hadi kibiashara na kutoka kwenye matumizi ya jembe la mikono hadi kilimo cha kisasa kwa kutoa mikopo iliyo na riba nafuu.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Mhe. Emmanuel Kipole alisema  wao wamejipanga kuchukua matrekta mengi ili kuboresha kilimo, uzalishaji wa mazao hasa ya pamba kwa kiasi kikubwa.

" Mwaka hadi mwaka tumekuwa tukiongoza kwa uzalishaji lakini kwa kutumia dhana hizohizo duni sasa tutatumia dhana hizi za kisasa ili kuboresha kilimo kutokana na mahitaji yetu kuwa makubwa, " alisema Kipole.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.