• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA ACHANGIA MIL.5 MATIBABU YA WATOTO WENYE SARATANI

Posted on: September 17th, 2024

RC MTANDA ACHANGIA MIL.5 MATIBABU YA WATOTO WENYE SARATANI


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo septemba 17, 2024 amechangia kiasi cha shilingi milioni tano katika kampeni ya kuwachangia watoto wanaosumbuliwa na maradhi ya saratani (Bugando Health Marathon 2024).

Sambamba na mchango huo, Mhe. Mtanda pia ametoa wito kwa wadau mbalimbali wa maendeleo Mkoani humo kuungana na Hospitali ya Kanda ya Bugando katika kampeni ya kuwachangia watoto hao ambao kwa kiasi kikubwa wamekuwa wakikabiliwa na ukosefu wa fedha za matibabu.

Mkuu wa Mkoa huyo ametoa mchango na rai hio alipokutana na Wadau wa maendeleo wa Mkoa wa Mwanza watakaoshiriki Bugando Health Marathon 2024 itakayofanyika tarehe 20 Oktoba, 2024 iliyolenga kuchangia fedha za matibabu kwa watoto wanaokabiliwa na maradhi ya saratani.

Aidha RC Mtanda amesema Hospitali ya Bugando wao wameamua kuisaidia Serikali kwa kuwa serikali haiwezi kufanya kila kitu hivyo ushiriki wa kampeni hiyo itasaidia kupunguza mzigo kwa serikali.

"Utafiti unaonesha kwamba Mkoa wa Mwanza umekuwa na changamoto ya Watoto wengi wanaokabiliwa na maradhi ya saratani na saratani hizi zikitibiwa mapema basi inaweza kutibika lakini matibabu yake ni gharama sana hivyo ndio maana nimewaiteni ili mtusaidie kutuunga mkono tuweze kuwasaidia watoto wetu". Amesema RC Mtanda.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Kanda Bugando Dkt. Fabian Massaga amesema wamedhamiria kukusanya takribani kiasi cha Shilingi Bilioni moja ambapo inakadiriwa kusaidia watoto takribani mia tano wanaokabiliwa na maradhi hayo.

Kadhalika Dkt. Massaga amewaomba wadau hao kujitoa kwa kuwaunga mkono na kubainisha kuwa sadaka watakayoitoa ni thawabu kwao na kwa hao watoto ambao nai wana ndoto za kuishi na kuwataka pia kushiriki katika mbio hizo zinazotarajiwa kuongozwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MWANZA, SIMIYU ZANG'ARA UTAMILIFU DARASA LA SABA KANDA YA ZIWA

    May 30, 2025
  • RAS MWANZA AZINDUA RASMI MRADI WA KUPAMBANA NA UGONJWA WA SELI MUNDU

    May 30, 2025
  • WAANDISHI WA HABARI MWANZA WAPIGWA MSASA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA WATOTO WA MITAANI

    May 29, 2025
  • RAS MWANZA AWATAKA VIONGOZI WA UMMA KUDUMISHA NIDHAMU NA UFANISI KAZINI

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.