• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AFANYA MAZUNGUMZO NA GAVANA WA JIMBO LA JIANGSU-CHINA, AKARIBISHA UWEKEZAJI

Posted on: November 20th, 2024

RC MTANDA AFANYA MAZUNGUMZO NA GAVANA WA JIMBO LA JIANGSU-CHINA, AKARIBISHA UWEKEZAJI


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amekutana na kufanya mazungumzo na Gavana wa Jimbo la Jiangsu kutoka China Mhe. Xu Kunlin na kumfahamisha fursa mbalimbali za uwekezaji ukiwemo ufugaji wa kisasa wa samaki, viwanda na Utalii.

Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika leo Novemba 20, 2024 kwenye ukumbi wa Ofisi ya mkuu wa mkoa, Mtanda amebainisha fursa nyingine zilizopo Mwanza ni madini na maeneo ya kufungua vyuo kwa ajili ya ufundishaji wa lugha ya kichina itakayosaidia wageni wa kitalii kutoka nchini humo.

"Hapa Mwanza tayari kuna mwekezaji kutoka China anayefuga samaki kwa njia ya vizimba na kutengeneza fedha nyingi,hivyo nawakaribisha mfike kwa wingi kuwekeza,"amesisitiza Mkuu huyo wa Mkoa wakati akizungumza na ujumbe ulioongozana na Gavana huyo.

Mtanda amesema uhusiano kati ya Tanzania na China ulioasisiwa tangu mwaka 1961 na Hayati Julius Nyerere na Mao Tsetung umezidi kuleta maendeleo kwa wananchi wake.

Kwa upande wake Gavana Mhe.Kunlin ameonesha kufurahishwa na taarifa za Mkoa wa Mwanza ambao amesema jina la Rock City umefanana na la Jimbo lake linalojulikana kama Stone Town,na kuongeza kuwa amevutiwa na uwekezaji wa ufugaji samaki,kiwanda cha chakula cha samaki na utalii


"Nitakaa na uongozi wa ngu kwa ajili ya kufanya utafiti mzuri wapi eneo mwafaka kwa ajili ya kuja kuwekeza na kuzidi kuimarisha uhusiano wa majiji ya Mwanza na Jiangsu,"Mhe.Kunlin.

Gavana huyo na ujumbe wake wakiwa nchini kabla ya kuja Mwanza wamefanya pia ziara kisiwani Zanzibar lengo likiwa kuimarisha uhusiano na kuona fursa za uwekezaji.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.