RC MTANDA AFANYA MAZUNGUMZO NA UONGOZI KUTOKA JUMUIYA YA ULAYA
Leo Aprili 09, 2025 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ofisini kwake amekutana na kufanya kikao kifupi na Uongozi kutoka Umoja wa Ulaya ambao watafanya ziara ya kikazi kukagua miradi ya Maji ya Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA).
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.