• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AIAGIZA WILAYA YA KWIMBA KUKAMILISHA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: July 28th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba kusimamia ukamilishaji wa miradi ya maendeleo ili iweze kutoa huduma zilizokusudiwa kwa wananchi.

Mhe. Mtanda ametoa agizo hilo leo Julai 28, 2025 wilayani humo wakati akikagua miradi ya maendeleo katika sekta mbalimbali ambapo imegharimu fedha mbalimbali kutoka Serikali kuu, mapato ya ndani pamoja na nguvu za wananchi.


Akikagua mradi wa kisima kirefu cha maji katika kijiji cha Maligisu amewaagiza RUWASA kuzitendea haki milioni 530 zilizotolewa na serikali kuu kwa  kuhakikisha wanakamilisha mradi huo mara moja ili uhudumie wakazi zaidi ya 8000 wanausubiria.


Aidha, amewaagiza watendaji wa vijiji kupanga bei na wananchi ili kuwa na umiliki na ushirikishwaji wa pamoja jambo litalosaidia kuutunza mradi huo ipasavyo pamoja na kuingiza maji kwenye nyumba zao na kulipia ankara za maji.

Akikagua ujenzi wa Bweni la wanafunzi lenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 80 katika shule ya sekondari Ngudu linalogharimu Milioni 160 Mkuu wa Mkoa ameagiza urekebishaji wa kasoro ndogondogo na ukamilishaji wa haraka wa bweni hilo.


Vilevile, amemuagiza Afisa Elimu wa Mkoa kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupitia kwa kutumia gesi ya asili na mbadala inayopatikana kwenye mazingira ili kupunguza gharama za uendeshaji na kuepusha uchafuzi wa mazingira kama walivyofanya kwenye shule ya Ngudu.

Kabla ya kukagua mradi wa Daraja la Sasi linalojengwa kwa Tshs. Bilioni 5.5 Mkuu wa Mkoa ameagiza mkandarasi anayejenga nyumba 1 ya mtumishi (Wakuu wa Idara) kati ya mbili zinazojengwa kwa Tshs. Milioni 160 kila moja kuhakikisha anarekebisha kasoro kwenye njia ya kuingilia walemavu na nyufa kwenye kuta.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANAHABARI, JESHI LA POLISI WAASWA KULINDA AMANI KIPINDI CHA UCHAGUZI

    August 07, 2025
  • RAS GEITA AWAALIKA WANANCHI KUJIFUNZA KILIMO CHA KISASA NANE NANE NYAMHONGOLO

    August 07, 2025
  • RAS GEITA AWAALIKA WANANCHI KUJIFUNZA KILIMO CHA KISASA NANE NANE NYAMHONGOLO

    August 07, 2025
  • WALIOBEBA MAFANIKIO YA MKOA KITAALUMA WAPONGEZWA

    August 06, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.