• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AKAGUA UWANJA CCM KIRUMBA, AMPA SIKU 7 MENEJA KUREKEBISHA KASORO ZILIZO JITOKEZA

Posted on: March 11th, 2025

RC MTANDA AKAGUA UWANJA CCM KIRUMBA, AMPA SIKU 7 MENEJA KUREKEBISHA KASORO ZILIZO JITOKEZA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo tarehe 11 Machi, 2025 amekagua miundombinu ya uwanja wa CCM Kirumba na akamtaka Meneja wa uwanja huo kurekebisha kasoro zilizojitokeza

Akiongea baada ya ukaguzi huo, Mhe. Mtanda amesema amejiridhisha na hali ya miundombinu kwenye maeneo yote ya eneo la kuchezea, vyoo, eneo la watu mashuhuri pamoja na vyumba vya kupumzika wachezaji na kwamba hali ni nzuri.

Aidha, amesema amebaini upungufu wa mabenchi kwenye maeneo ya wachezaji kubadilisha nguo na kupumzika na eneo la kuchezea mpira kwenye maeneo ya magoli zilizopungua nyasi na akaagiza ndani ya siku saba warekebishe kasoro hizo.

"Msimamizi wa Uwanja huu tambua kuwa huu uwekezaji na kwenye biashara yoyote lazima uzingatie ubora wa huduma, sasa nakuagiza tumia vema wakati huu ligi imesimama kuboresha uwanja kwa kuondosha kasoro ndogondogo kama kurejesha mabenchi." Mhe. Mtanda.

Halikadhalika, Mkuu wa Mkoa ameishukuru Bodi ya Ligi nchini kwa usimamizi mzuri wa michezo na ameahidi Serikali kuendelea kushirikiana na mamlaka husika nchini katika kuendeleza mchezo wa soka.

Awali, Mratibu Mkuu wa michezo ya ligi Mkoa Bwana Goodluck Nyawandi alibainisha kasoro nne za maji kuingia kwenye eneo la kupumzikia wachezaji, upungufu wa viti vya kudumu kwenye maeneo ya kupumzikia wachezaji na la watu mashuhuri na uwepo wa maji ya kudumu kwa matumizi ya kawaida.

Naye, Meneja wa Uwanja ndugu Hassan Ally amebainisha kuwa uongozi unaendelea kuboresha miundombinu hiyo na kwamba ndani ya juma moja watakamilisha ikiwemo uwekaji wa nyasi kwenye maeneo ya magoli ambazo zitawasili ndani ya siku 2 kutoka Arusha.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.