Leo Oktoba 21, 2025 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amepokea ujumbe wa Brig Jenerali MK Matunda kutoka Chuo cha Ulinzi wa Taifa (NDC) Aliyemtembelea ofisini kwake Jijini Mwanza kwa ajili ya maandalizi ya mafunzo kwa vitendo kwa wanafunzi wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa.

Mafunzo hayo yanatarajiwa kuanza mapema mwezi januari 2026.

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.