• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA ATAKA GHARAMA ZA MAJI KUWA RAFIKI KWA WANANCHI

Posted on: September 18th, 2024

RC MTANDA ATAKA GHARAMA ZA MAJI KUWA RAFIKI KWA WANANCHI


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewaagiza Wakala wa Maji vijijini (RUWASA) Mkoani humo kushirikisha wananchi kupitia vikao kupata bei za Maji zilizo rafiki kwa hali zote ili lengo la miradi hiyo kusaidia jamii litimie.

Ametoa kauli hiyo leo jumatano tarehe 18 septemba, 2024 akiwa kwenye Kijiji cha Kahangara Wilayani Magu wakati akikagua maendeleo ya mradi wa ukarabati maji uliotekelezwa na serikali kupitia Mradi wa Uviko 19 kwa zaidi ya Tshs. Milioni 508.

Mhe. Mtanda amewataka RUWASA kupitia wasimamizi wa jumuiya za watumia maji kutokupandisha bei za maji kiholela kwani kwa kufanya hivyo ni kwagombanisha wananchi na Serikali yao na kuwataka kuendelea kutoza bei ambazo ziliamuliwa na mikutano ya kijiji tu na si vinginevyo.

Mhe. Mtanda amesema serikali ya awamu ya sita inatekeleza miradi ya huduma za jamii hususani Maji kama unavyotarajiwa kuongeza upatikanaji wa maji safi na salama kutoka asilimia 34 hadi 90 hivyo watendaji ni lazima wasimamie ukamilifu wa hilo.

Aidha, amewataka RUWASA kuhakikisha kuwa kupitia mradi huo wanafikisha huduma za maji kwenye vijiji vyote ambavyo bado havijapata maji safi na salama ndani ya kata hiyo na kusimamia miundombinu hiyo ili maji yaendelee kutoka kila siku.

Meneja RUWASA Wilaya ya Magu Mhandisi Daud Amlima amebainisha kuwa mradi huo umeshakamilisha vituo 34 vya kuchotea maji ambayo vinatoa maji na kwamba unasimamiwa na wananchi wenyewe kupitia jumuia zao.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.